Features gani ambazo unazitumia zaidi kwenye simu yako ya mkononi?

Mie huwa napiga na kupokea, na kutuma sms. zaidi ya hapo ni alarm tu. Simu yangu Nokia torch
 
Mh ok!!!

Mimi simu yangu naitumia Kulimia!! yaah kilimo kwanza

Ok here is a trick, nimeunganisha ile mota inayofanya simu iweze kuvibrate nimeiunga na Jembe kama la trecta so natumia kwa shughuri za kilimo ni good INNOVATION!!

Cheers!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Natwanga na kupokea calls kwa sana tu
Sms kidogo sana
Internet mara chache nikiwa nje ya home na ofisi
Radio sikumbuki mara ya mwisho niliitumia lini
Kamera sijui hata kama inafanya kazi
Ndio kwanza naiangalia najua kuwa hata saa na tarehe haipo sawa
Sina muziki wowote zaidi ya mlio mmoja nilidownload kwaajili ya ringtone
Application kama jotter,tasks,games,remainder na makororo mengine sijawahi kuzitumia

In short napiga na kupokea na sms,internet kidogo ambapo kimahesabu natumia asilimia kama 30 ya features za simu yangu
 
Mh ok!!!

Mimi simu yangu naitumia Kulimia!! yaah kilimo kwanza

Ok here is a trick, nimeunganisha ile mota inayofanya simu iweze kuvibrate nimeiunga na Jembe kama la trecta so natumia kwa shughuri za kilimo ni good INNOVATION!!

Cheers!!!

sharoooo!punguza vituko chifu.
 
Mi natumia samsung champ.
Feature ninayoipenda sana ni hii ya kublock incoming calls na sms,mi ni mwanafunzi kwa hiyo inanisadia sana.Ukimpa mtu 1 namba yako usiku unapigiwa na watu kama tano ambao hujawapa namba.
Nyingine labda Internet,sasa hii nimepunguza nilikuwa addicted kabisa.
Camera,hii natumia karibu kila siku.
Muziki ndio kabisaaa!nikitoka skuli earphone masikioni hadi nitakapoingia kitandani.
Bluetooth pia natumia sana kuangalia simu za wengine bila wao kujua(I LIKE THIS).
 
Bluetooth pia natumia sana kuangalia simu za wengine bila wao kujua(I LIKE THIS).[/QUOTE]

charles hebu nitoe ushamba mkuu, kuangalia vitu gan? Yaan unaweza kucheck msg na mengineyo..
 
Mh ok!!!

Mimi simu yangu naitumia Kulimia!! yaah kilimo kwanza

Ok here is a trick, nimeunganisha ile mota inayofanya simu iweze kuvibrate nimeiunga na Jembe kama la trecta so natumia kwa shughuri za kilimo ni good INNOVATION!!

Cheers!!!
Ahahahahahaah!! Acha vituko wewe.....
 
EMT sasa unafika super market na kuscan vitu alafu unashindwa kuchukua tu wenyewe???Kweli tekinolojia inalemaza!!

Yea, akama una haraka zako, halafu foleni kubwa. lakini kama umeshascan mara moja, vitakuwa stored kwenye simu. So, next time, you don't need to go there again. unaorder tuu through your phone. Kwa wale wanaopenda kuzunguka zunguka kwenye supermarkets sidhani kama hii itawafaa.
 
Mi natumia samsung champ.
Feature ninayoipenda sana ni hii ya kublock incoming calls na sms,mi ni mwanafunzi kwa hiyo inanisadia sana.Ukimpa mtu 1 namba yako usiku unapigiwa na watu kama tano ambao hujawapa namba.
Nyingine labda Internet,sasa hii nimepunguza nilikuwa addicted kabisa.
Camera,hii natumia karibu kila siku.
Muziki ndio kabisaaa!nikitoka skuli earphone masikioni hadi nitakapoingia kitandani.
Bluetooth pia natumia sana kuangalia simu za wengine bila wao kujua(I LIKE THIS).


Huhhhhhhhhhh???
Nnachojua kuaccess simu ya mtu mwingine kwa kutumia bluetooth lazima mwenye simu aruhusu simu yako kufanya hivyo!!Unless unamaanisha kuziangalia tu majina na labda kuchokonoa uone nani aliyepo karibu atarespond.
 
Yea, akama una haraka zako, halafu foleni kubwa. lakini kama umeshascan mara moja, vitakuwa stored kwenye simu. So, next time, you don't need to go there again. unaorder tuu through your phone. Kwa wale wanaopenda kuzunguka zunguka kwenye supermarkets sidhani kama hii itawafaa.

Mhhh owkey...hehehe ila binafsi siwezi maana napenda kuzunguka na kuchagua kila kitu mwenyewe.Hata kumtuma mtu sipendi achilia mbali kusubiria nisiyemjua anichagulie!!
 
LG Optimus X2....

Nakumbuka nilijiakamua kununua LG KC 910 just bcs ya camera. ilikuwa ni mobile phoneya kwanza kuwa na cameara ya 8 Mega pixel. Nadhani LG wana simu nzuri sana.

Binafsi zaidi ya kupiga, Alarm na reminder na saa camera ni feature muhimu kwenye simu. Na radio na Space ya utosha kuweka miziki
 
Nakumbuka nilijiakamua kununua LG KC 910 just bcs ya camera. ilikuwa ni mobile phoneya kwanza kuwa na cameara ya 8 Mega pixel. Nadhani LG wana simu nzuri sana.

Binafsi zaidi ya kupiga, Alarm na reminder na saa camera ni feature muhimu kwenye simu. Na radio na Space ya utosha kuweka miziki
Mhh hiyo sijaitumia ila nilikua na LG arena 5mp picha zake usipime alafu ilikua na Dolby surround sound basi mziki wake si mchezo!

Ila kwa mziki wa ukweli SE ndo kila kitu....ngoja nijipange nirudi maana sijawahi kua dissapointed na simu zao!!
 
-PopUp texting
-(web surfing) Facebooking, JF, ipmart forum,
-weather,
-stock market trends,
-Bible,
-Gaming,
-Music,
-Internet Radio & Television,
-whatsApp, skype, twitter, Mail,
-Apple App Store, Cydia & Installous (installing cool apps & games)
-internet tethering via ios,
-world fact book......:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Mkuu ni hivi.
Washa bluetooth kwenye simu yako then search device zilizo karibu,ukishapata fanya kuingiza password ili ku pair(mara nyingi watu wanapenda 1 au 1234 hadi tano).
Ukishapair bonyeza browse files hapo utaona pics,vids,notes,memos,music,sms&e-mails(ikiwa tu amefanya backup ya sms na e mail)
Kama inakuwa ngumu chukua sim ya mtu washa bt,pair kwa namba zako mwenyewe then mrudishie,utaweza kuiangalia anytime bila kuingiza password.
Hii feature nimeiona kwenye samsung tu.
 
Huhhhhhhhhhh???
Nnachojua kuaccess simu ya mtu mwingine kwa kutumia bluetooth lazima mwenye simu aruhusu simu yako kufanya hivyo!!Unless unamaanisha kuziangalia tu majina na labda kuchokonoa uone nani aliyepo karibu atarespond.

Yea.kwa samsung unaweza kuangalia nani aliye karibu na kuangalia files zake bila yeye kujua kwa sababu mara nyingi samsung haihitaji kupair na nyingine ndio uweze kubrowse files.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom