Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Leo nimejikuta nashika simu yangu na kujiilza maswali mengi.
-Ina vitu( features gani) ambazo sizijui?
- Ina features gani ambazo nazijua lakini sijawai kuzitumia wala sizihitaji
- Ina uwezo au mapungufu gani
-Inakosa features gani ambazo kama ingekuwa nazo ningezitumia sana.
Simu nyingi hata za kawaida zina uwezo na features nyingi ambazo hatutumii. . Sasa swali kwa wasomaji na wanajmvi ni features gani unazotumia sana kwenye simu yako.
-Voice calling na sms ( kupiga/kupokea simu na kutumaujumbe mfupi) hii ni sifa kuu ya simu
-Camera na Video Camera
-Saa(clock)
-Alarm na reminder, Notebook
-Internet
-GPS
-kusikiliza FM radio na Miziki uliyoifadhi
-kuhifadhi Directory na contact za watumbali mbali
- games
-TV ukiwa kwenye movement
Hapa nimetaja vitu vichache lakinii nawezekana baadhi yetu tuna simu amabazo zina uwezo mkubwa sana kuliko uwezo wa huduma inaytolewa na provider wetu au kuliko mahitaji na matumizi yetu. Vile ile tunaweza kuwa maeneo fulani simu kama ya nokia ya tochi ikawa na msaaada mkubwa zaidi kuliko simu zingine
Nawasilisha kwa mjadala.
-Ina vitu( features gani) ambazo sizijui?
- Ina features gani ambazo nazijua lakini sijawai kuzitumia wala sizihitaji
- Ina uwezo au mapungufu gani
-Inakosa features gani ambazo kama ingekuwa nazo ningezitumia sana.
Simu nyingi hata za kawaida zina uwezo na features nyingi ambazo hatutumii. . Sasa swali kwa wasomaji na wanajmvi ni features gani unazotumia sana kwenye simu yako.
-Voice calling na sms ( kupiga/kupokea simu na kutumaujumbe mfupi) hii ni sifa kuu ya simu
-Camera na Video Camera
-Saa(clock)
-Alarm na reminder, Notebook
-Internet
-GPS
-kusikiliza FM radio na Miziki uliyoifadhi
-kuhifadhi Directory na contact za watumbali mbali
- games
-TV ukiwa kwenye movement
Hapa nimetaja vitu vichache lakinii nawezekana baadhi yetu tuna simu amabazo zina uwezo mkubwa sana kuliko uwezo wa huduma inaytolewa na provider wetu au kuliko mahitaji na matumizi yetu. Vile ile tunaweza kuwa maeneo fulani simu kama ya nokia ya tochi ikawa na msaaada mkubwa zaidi kuliko simu zingine
- Je unatumiaje simu yako.?
- -Kwa kwa maoni yako simu inatakiwa zaidi ya kuongea na sms simu yeyote inatakiwakuwa na features gani za muhimu.
Nawasilisha kwa mjadala.