Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Yawezekana FBI wakaja na wasifue dafu(tusipate jibu)- tuna mifano mingi, kwani Scotland yard walipata nini kuhusu moto wa BOT au kifo cha Dr Ouko kule Kenya. Hapa uchunguzi ni wa kufunika siyo kufumbua.