Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,124
- 2,572
TISS na FBI siyo wa kuwajua mahala peupee, kwani Kachero lazima ajulikane huyu hapa anapita katika kazi yake?? la hasha wanafanya kazi kisiri siri navyoelewa mimi!
JK anataka kuhakikisha kuwa zanzibar inaendelea kuwa koloni la tanganyika, wazenji wamejitela na sababu imepatikana ya kuwaletea wababe kuikalia ardhi yao kwa niaba ya tanganyika kwa kisingizio cha ugaidi, yakheee... imekula kwenu hiyo!
Naomba mwenye kujua aweke jamvini JOB DESCRIPTION ya wana usalama wa Taifa! Huenda tunawalaumu bure!
Na baadae serikali itueleze imetumia fedha kiasi gani kuwaleta hao FBI na wamesaidia mambo gani ambayo sisi tusingeyaweza katika kuwakata hao wahusika. Wasije wakawa wameletwa halafu wanatembezwa mbuga za wanyama.
FBI anakuja kufanya nini hapa? mbona zilipozama MV Skarget na MV Spice kule Zanzibar ikauwa maelfu ya watu hawakuja kuchunguza mauwaji na hata bunge la Tanzania lilinyimwa fursa ya kujadili yale mauwaji au serikali ndio inaonyesha dhahiri nnadhir kuliunga mkono Kanisa??
Chezea pembe ndogo nyie acha majesuit waje.
Naomba mwenye kujua aweke jamvini JOB DESCRIPTION ya wana usalama wa Taifa! Huenda tunawalaumu bure!
mgosi TISS ni kitengo cha CCM, haiwezi kufanya lolote, bora hata jumuiya ya waganga wa kienyeji na wapiga ramli wanaweza kufanya uchunguzi.
kwenye mambo nyeti hakuna utani aisee, ni kheri ushirika wa waganga wa kienyeji kuliko TISS yetu ya sasa.Hahahahaha hivi uko siriasi au unatania?
wao wanachunguza akifa padri na akifa mbwa wa airport, ila soon tutasimamisha kHILAFA na tutaondoa duhlma yote hii inshaAllah, waache wafanye propaganda zao waache wasaidiwe na wanafki ila ahadi ya ALLAH itatimia, proud to be a muslim nd JIHAD muhimu
Hebu zirejesheni zile Mada za father aliyepigwa risasi Zanzibar na ujio wa FBI na CIA, naona mulikua mumezifungia kibwebwe na kuzidadavu kwa furaha mpaka meno ya mwisho yalikua yanaonekana lakini ghafta zilitoweka kama barafu juani! Kulikoni tena??
"Wapo baadhi ya viongozi wa KIDINI wanahusika katika kusafirisha madawa ya kulevya"
Jakaya Mrisho Kikwete