FBI ndani ya Tanzania, kazi ipo

problem,action,solution=order out of chaos..ladies and gentlemen,and the show starts all over again,pleasee,welcome AMERICAN COLONIALISM EXPERTS......

Tutakipata. Tunakaribisha mwenye akili zaidi yetu "chumba tunacholala"!! We haya. "Atatukuchukulia Mke/mume"
 
Hata waje nani,target ya waz'br ipo palepale,jamhuri ya watu wa z'br kwanza shengesha baadae.
Hata Saddam Hussein na Osama Bin Laden walitaka Ulimwengu mzima uwe wa kiislam sembuse hicho Kisiwa cha Unguja & Pemba?
Mwisho wa yote walipata vifo vya aibu vya kukutwa wamejificha mahali ambapo walionyeshwa na wasaliti wao
Hata haya mauaji FBI itasaidiwa na haohao wenyeji kuwaonyesha wote wabaya ya nyuma la pazia hili na wala ukiwapelekea Askari wa kwetu hawataambia chochote ndio asili ya watu wa aina hii
Mfano mzuri ni wakati Iraq ilipoivamia Kuwait, Meli za kivita za na wapelelezi wao walipitia Kuwait na wakapokelewa Saudi Arabia. Sasa FBI itaoneshwa wauaji hao na Wazanzibar wenyewe sis hatupo labda anzisheni chokochoko ingine ya kujitenga hasa
 
Mkono mrefu kwa vyama vya siasa ( upinzani tu) lakini kwa maswala ya mauji ya Kidini serikali mkono ni mfupi na una kiharusi hadi kuwaita FBI.. very shame...
 
Duuuhhh....Hiv Kesi ya Mwangosi iliishia wap raia??, Vip na Kesi ya Dokta Ulimboka nae...Naomba hii ya Padri watu wachukuliwe hatua kweli siyo porojo
 
FBI ndani ya Zenj?uuwii,thatha ma bro Nurdin Moh'd ni wakati wa kuachana na hako kapedo ketu halafu ujifunze kuvaa thuti na tai,halafu ujifunze funze kiingeretha kidogo,halafu uanze rehersal ya Bwana asifiwe,usije ukaozea Guantanamo jamani!
 
Law of consistency. Huwezi ukapanda bangi na ukavuna mahindi. Huwezi ukapanda udini na ukavuna maelewano kati ya dini na dini. Tumepanda udini na ukabila kwa kudhani tunafifisha vyama vya upinzani, sasa tunavuna tulichopanda.

Msikilize Nape na viongozi wengine wa CCM wanavyoinanga CUFna CDM kwamba ni vya kidini na kikabila. Lengo lao wshinde uchaguzi bila kujua athari za matamshi yao. Hivi ndani ya CCm nani ambaye anaweza kuwatahadharisha wenzeka kuhusu kauli wanazozitoa? Au nani anaweza kukujua matokeo na athari za matamko yao?.
 
Tumejaribu tumeshindwa,tunasonga mbele kwa kuwaita FBI.
Wazee wa sarakasi na Kanzu kaeni chonjo.
Sasa kazi imeanza si hawa jamaa wa vitu vyenye ncha kali uongo umewazidi.
 
hii ni sawaswa na kuua mbu kwa lungu! naamini hata watu wachache humu ndani tena wanawake wangetumwa kuchunguza hili isingechukua siku tatu wangerudi na majibu mzuri na muda wa kwenda saloon wangepata.
tabu usalama wa taifa hawataki kubadilika wamekalia kufanya biashara kwa kufanya kazi zenye maslahi ya watawala wao kwa shida zao na sio maslahi ya nchi
(KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI).
 
Mwisho wa siku watatuambia hao ni magaidi na watapendekeza walete majeshi yao ili kuwasaka ili wachukue gesi yetu na mafuta
akili kumukichwa!!!!!!!!!

Mkuu u r very right, watalikuza jambo hili lionekane kubwa end of a day vikosi kuja kulinda na kupambana na ugaidi the other side gas na mafuta hayoooooooo......Hivi hawa jamaa zetu wamekosa habari za kiintelegensia ??
 
...........FBI na Scotland yard wakimaliza uchunguzi wao tuwape tena waendelee na uchunguzi wa wanafunzi kufeli kiasi kile, Chenji za uswisi na EPA ili kuepuka gharama za kuwaacha waende kwao kisha kuwaita tena baadae.
 
Ujue tatizo ni kwamba kwa kiasi fulani kwa sasa watu hawana imani ya kutosha na vyombo vya usalama vya nyumbani kwa hiyo lengo la kuleta vyombo vya kimataifa ni ili kuepuka lawama.

Si hilo tu bali ni "..KUKATA MZIZI WA FITNA..."-by JKM
 
Ushirikiano katika kusaka wahalifu ni jambo la kawaida kwa nchi zote, na kwa wakati wote. Najua, wapo wachache watakaopinga jambo hili, kwa kuwa kwa namna moja au nyingine ama wanahusika direct or indirect, au wana maslahi katika jambo hili. Kuna watu hata watathubutu kukimbia, ingawa tayari wamekwisha chelewa, kwa kuwa mipaka ya ndani na nje ya nchi, imekwisha dhibitiwa. Acha wakamatwe, na mwisho wa siku wajutie madhambi yao, wakati wale waliokuwa wanawadanganya eti wanawapeleka kwenye mafunzo nje ya nchi, watakapo wakana mara tatu.
 
Unayosema ni kweli mkuu. Wakati tukisubiri ukombozi wa awamu ya pili unaotegemea kuanza rasmi 2014 mpaka 2015 kwa sasa hatuna ujanja ila kuwaita hawa wapelelezi wa nje. Vyombo vyetu vya usalama ni ZERO. Matukio mengi yametokea ya mauwaji na utesaji wa raia lakini hakuna uchunguzi wowote wa maana uliofanywa na kutupatia majawabu sahihi. At this point in time nasikitika najua risk ya kuwaleta hao watu but let them come kwa sababu hatuna namna kwa sasa. Ikiwezekana TOR yao isiwe tuu kwa mauwaji ya Padri bali waangalie pia maeneo mengine ambayo vyombo vyetu vimeshindwa kuchunguza. Mfano issue ya ulimboka etc etc. Mimi naona bora waje maana sina imani tena na vyombo vyetu vya usalama na havina uwezo wa kutosha. Hata serikali yetu dhaifu imegundua hilo.
 
Tutakipata. Tunakaribisha mwenye akili zaidi yetu "chumba tunacholala"!! We haya. "Atatukuchukulia Mke/mume"

mmmh!bora mie ma wife ana aleji na wazungu tangu wamstaafishe kazi wale wa Net group ya taa nne siko!ni mfano wa kuigwa kwa kweli!
 
Wakichuchukua hatua wa tz wenyewe katika hili wale watakaoshughulikiwa utakuta washirika wenzao mara wanaanza tena uchochezi kwamba kwenye ukamataji na upelelezi palikuwa na shinikizo la maaskofu, mara hapana ilikuwa ni shinikizo la mashekhe, mara hapana walishinikiza chadema mara waliofanya ni kwa shinikizo la ccm, mara....! Mara......! Vyombo vya kimataifa navishiriki katika hili ili tusikie anaesema kwiiiii! Ni nani.
 
Back
Top Bottom