Fanya haya lazima! Lazima! Utakuwa tajiri.

UTAJUAJE KAMA UMEONEWA?
1. Baada ya kufanya kazi siku 30, unafukuzwa
kazi bila mshahara.
2. Ukiwa una download kitu kwenye net, inafika
99% alafu inagoma.
3. Unaingia na kibomu kwenye pepa alafu
unashindwa kuelewa mwandiko Wako
mwenyewe.
4. Unanunua simu Leo tsh elfu sabini alafu
kesho zinawekwa kwenye promo zinauzwa elfu
thelathini.
5. Unamualika Demu mkali kwenye dinner
unaagiza samaki alfu mwiba wa samaki
unakukaba kooni.
6. Unakamata manzi alafu unazama nae getoni
alafu unashindwa kusimamisha...
7. Unavunja uhusiano na boyfriend Wako alafu
siku inayofata ananunua gari aina ya vogue ya
shilingi milioni 90.
8. Unanunua pafyumu kali lakini kwapa bado
linatema.
9. Unafanya kazi kwenye kampuni miaka 10 bila
kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara.
10. Unamdanganya mkaba roba kuwa huna
simu alafu inaita..
11. Unagombana na mtu barabarani alafu
kufika ofisini unapokwenda kuomba kazi
unamkuta anakufanyia interview.
12. Kama gari lako linatumia muda mwingi
gereji kuliko barabarani.
13. Kwenye pepa matokeo yanatoka umefeli
mathematics na kiswahili pia!!!....
14. Unaingia kwenye pepa alafu unasahau jina
lako la kwanza.
15. Unasajiliwa kama beki kwenye timu ya
barani ulaya alafu jaribio la kwanza unapewa
kumkaba Lionel Messi.
16. Kama mtoto Wako wa pekee anajiunga na
JWTZ.
17. Kama ukikosea ukaweka super glue
machoni badala ya dawa ya macho.
18. Kama utapiga picha photoshop
lakini bado unaonekana m'baya.
19. Kama panya atakula jina lako tu, kwenye
Cheti chako muhimu.
# Kati ya zote ipi ikitokea unakua umeonewa sana??
 
UTAJUAJE KAMA UMEONEWA?
1. Baada ya kufanya kazi siku 30, unafukuzwa
kazi bila mshahara.
2. Ukiwa una download kitu kwenye net, inafika
99% alafu inagoma.
3. Unaingia na kibomu kwenye pepa alafu
unashindwa kuelewa mwandiko Wako
mwenyewe.
4. Unanunua simu Leo tsh elfu sabini alafu
kesho zinawekwa kwenye promo zinauzwa elfu
thelathini.
5. Unamualika Demu mkali kwenye dinner
unaagiza samaki alfu mwiba wa samaki
unakukaba kooni.
6. Unakamata manzi alafu unazama nae getoni
alafu unashindwa kusimamisha...
7. Unavunja uhusiano na boyfriend Wako alafu
siku inayofata ananunua gari aina ya vogue ya
shilingi milioni 90.
8. Unanunua pafyumu kali lakini kwapa bado
linatema.
9. Unafanya kazi kwenye kampuni miaka 10 bila
kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara.
10. Unamdanganya mkaba roba kuwa huna
simu alafu inaita..
11. Unagombana na mtu barabarani alafu
kufika ofisini unapokwenda kuomba kazi
unamkuta anakufanyia interview.
12. Kama gari lako linatumia muda mwingi
gereji kuliko barabarani.
13. Kwenye pepa matokeo yanatoka umefeli
mathematics na kiswahili pia!!!....
14. Unaingia kwenye pepa alafu unasahau jina
lako la kwanza.
15. Unasajiliwa kama beki kwenye timu ya
barani ulaya alafu jaribio la kwanza unapewa
kumkaba Lionel Messi.
16. Kama mtoto Wako wa pekee anajiunga na
JWTZ.
17. Kama ukikosea ukaweka super glue
machoni badala ya dawa ya macho.
18. Kama utapiga picha photoshop
lakini bado unaonekana m'baya.
19. Kama panya atakula jina lako tu, kwenye
Cheti chako muhimu.
# Kati ya zote ipi ikitokea unakua umeonewa sana??
 
Sijakuelewa unachozungumzia, najua kumwamini Mungu au shetani hakuna link yoyote na utajiri? Kuwa tajiri si lazima uwe na jiuhudi na maarifa katika kufanya majukumu yako ya kila siku. Shetani au mungu isiwe excuse ya wewe kutokuwa tajiri kajiri kama unapenda. Kumbuka kuna watu wengine hatupendi kuwa matajiri et all.
Ni kweli hupendi kuwa tajiri mkuu?,,,daaah
 
Back
Top Bottom