Kwa sababu nguvu na akili za binadamu ni dhaifu, huwezi ukatajirika, huwezi! na ni sababu tosha za umaskini wetu!
Ili utajirike lazima upate nguvu na akili ya ziada ambayo utaipata kwa MMUNGU, au SHETANI.
1. Kama utafuata maelekezo na maagizo ya MMUNGU 80% Hakika Hakika UTATAJIRIKA.
2. Kama utafuata maelekezo na maagizo na masharti ya Shetani. Mf; muue mama yako au mwanao, mgeuze mwanao zuzu, lete kiungo au ngozi ya binadamu na kafara nyingine za kutisha, Hakika Hakika utafanikiwa. lakini mwisho wako utakuwa mbaya na kutisha!
Masharti ya MMungu ni mepesi, lakini watu wanafuata masharti magumu ya shetani!
Ili utajirike lazima upate nguvu na akili ya ziada ambayo utaipata kwa MMUNGU, au SHETANI.
1. Kama utafuata maelekezo na maagizo ya MMUNGU 80% Hakika Hakika UTATAJIRIKA.
2. Kama utafuata maelekezo na maagizo na masharti ya Shetani. Mf; muue mama yako au mwanao, mgeuze mwanao zuzu, lete kiungo au ngozi ya binadamu na kafara nyingine za kutisha, Hakika Hakika utafanikiwa. lakini mwisho wako utakuwa mbaya na kutisha!
Masharti ya MMungu ni mepesi, lakini watu wanafuata masharti magumu ya shetani!