Fanikisha mahusiano ya mbali. . .

Watu samtaimu munachanganya madawa bana, Ishu sio uaminifu ishu ni binadamu ameumbwa na udhaifu flani kimaumbile, acheni kudanganywa na mapenzi ya kwenye movie.

Kuna vitu kama temptation na situation, vishaiwishi na vidugushi all in all, mapenzi ya mbali haya work. This is the plain truth
Sio kila mtu anaanguka kwenye vishawishi, some of us do have self control.Nyie msio nazo msitake kulazimisha kwamba wote tunafanana maana hivyo sivyo.Hata yale nisiyoweza mimi najua wapo watu wengine wanaweza. . . acheni kutushusha na sie tunaojua namna ya kupambana na vishawishi.
 
Babu kwani unaeagana nae asubuhi na kukutana jioni una uhakika gani nae?

@AirTanzania. . .never ni neno la ajabu.Ukiliendekeza huwezi fanikisha chochote maishani mwako.

Huwezi kuwa na hakika Lizzy, ila chance ya kudeal na paranoia katika relationship ya watu walio karibu si kubwa. Halafu kama kuna tatizo basi mnaongea macho kwa macho......It helps so much to deal with critical issues face to face...Zinapotokea halafu mkaanza kuziongelea kwenye simu inakuwa hatari sana!!
 
Huwezi kuwa na hakika Lizzy, ila chance ya kudeal na paranoia katika relationship ya watu walio karibu si kubwa. Halafu kama kuna tatizo basi mnaongea macho kwa macho......It helps so much to deal with critical issues face to face...Zinapotokea halafu mkaanza kuziongelea kwenye simu inakuwa hatari sana!!
Hapo tuko pamoja babu, sema ndio hivyo wakati mwingine inabidi mpambane hivyo hivyo. Au umwache ukiwa tayari kujuta ikiwa huyo wa karibu atakua matatizo tupu.
 
Lizzy, kama binadamu wameweza kwenda mwezini basi hakuna linaloshindikana kufanywa na binadamu ali mradi tu kuna discipline ya kutosha ambayo kwa miaka hii wengi hawanayo.

Siyo kwa miaka hii tu BAK,

Kuna jamaa alimwacha mke wake kijijini kwetu na kwenda kufanya kazi enzi hizo. Alikuwa anakuja nyumbani wakati wa likizo na mara nyingine hata baada ya miaka 2. Kati ya watoto kama 3 waliozaa na mke wake, inasemekana 2-3 si wake. Ila 2 ndio kila mtu ana hukakika kwa sababu ni ectopic kabisa kwenye hiyo familia na baba zao wanajulikana!! Huyo baba naye inasemekana kagawa mbegu kila alikopita!!
 
Sio kila mtu anaanguka kwenye vishawishi, some of us do have self control.Nyie msio nazo msitake kulazimisha kwamba wote tunafanana maana hivyo sivyo.Hata yale nisiyoweza mimi najua wapo watu wengine wanaweza. . . acheni kutushusha na sie tunaojua namna ya kupambana na vishawishi.
Siongelei vishawishi, naongelea human nature na vishawishi vikiwa mfano tu. Lets umevumilia kama unavyosema, unajua hayo mateso ya kuvumilia yanakuathiri kiasi gani?
 
Sio kila mtu anaanguka kwenye vishawishi, some of us do have self control.Nyie msio nazo msitake kulazimisha kwamba wote tunafanana maana hivyo sivyo.Hata yale nisiyoweza mimi najua wapo watu wengine wanaweza. . . acheni kutushusha na sie tunaojua namna ya kupambana na vishawishi.

Really Lizzy?

Are you sure you have been tested and emerged a winner????
 
Tusidanganyane na kupeana moyo, all I can say
Mapenzi ya mbali ni disaster na kama sio sudden death basi itakuwa silence killer.

Labda tuwe tunaongelea umbali wa kuonana kila wiki, lakini usijidanganye kuwa mbali na mwenza wako kwa miaka.

Nimemaliza na ole wenu mubishe
Jibaba kwa mara ya kwanza leo hatukubaliani kabisa kwenye huu mjadala hamna cha sudden death wala nini..tatizo watu hawana uvumilivu like i said everything is possible ikiwa wote wawili mtakuwa determined...
 
Siongelei vishawishi, naongelea human nature na vishawishi vikiwa mfano tu. Lets umevumilia kama unavyosema, unajua hayo mateso ya kuvumilia yanakuathiri kiasi gani?

Human nature ipi?
Wale ambao hawana hiyo nature wao hawajakamilika?Au kama swala ni kudhibiti hiyo nature, wanaoweza kudhibiti wana lipi la ajabu? Tatizo ni watu mnavyojiendekeza. Na kujiendekeza huko kusiwe sababu ya kulazimisha kila mtu awe hivyo. .

AGAIN, it's all about self control.Hata wale wanaokula mpaka kua obese wanachokosa ni self control na sio kwamba wasipokula sana watakufa.
 
Unachezea paranoia
inaweza ikakuua kabsa
haifai hata kidogo
tena awe mbali wanakukuta umejitundika
Huwezi kuwa na hakika Lizzy, ila chance ya kudeal na paranoia katika relationship ya watu walio karibu si kubwa. Halafu kama kuna tatizo basi mnaongea macho kwa macho......It helps so much to deal with critical issues face to face...Zinapotokea halafu mkaanza kuziongelea kwenye simu inakuwa hatari sana!!
 
Really Lizzy?

Are you sue you have been tested and emerged a winner????
Hahahahah. . .
. . . .and we'll always be.Yani bado sijaona huo ugumu mnaoongelea kabisa. Kama kuvumilia manyanyaso ndani ya ndoa/nyumba watu wanaweza iweje washindwe kuvumilia kuwa mbali mbali kwa muda mfupi?
 
Jibaba kwa mara ya kwanza leo hatukubaliani kabisa kwenye huu mjadala hamna cha sudden death wala nini..tatizo watu hawana uvumilivu like i said everything is possible ikiwa wote wawili mtakuwa determined...

LIKE. . . .
Angalau bado tupo wachache tusianguka kwenye hiyo theory ya human nature. Kila kitu mnasingizia human nature.
 
Jibaba kwa mara ya kwanza leo hatukubaliani kabisa kwenye huu mjadala hamna cha sudden death wala nini..tatizo watu hawana uvumilivu like i said everything is possible ikiwa wote wawili mtakuwa determined...

hehehe hakuna determination against human nature kuna kujitahidi tu, hao unaowaona wote wanajitahidi tu lakini hawako determined. Umeliona suala la mstaafu DC alilomuuliza Lizzy?
 
hehehe hakuna determination against human nature kuna kujitahidi tu, hao unaowaona wote wanajitahidi tu lakini hawako determined. Umeliona suala la mstaafu DC alilomuuliza Lizzy?
Kloro tafadhali usilazimishe kila mtu awe kama wewe au sijui niseme nyie.

Kama nyie hamwezi, wengine tunaweza.
Na swali nimeshajibu NDIO. . .nini tena mnataka?
 
hehehe hakuna determination against human nature kuna kujitahidi tu, hao unaowaona wote wanajitahidi tu lakini hawako determined. Umeliona suala la mstaafu DC alilomuuliza Lizzy?
Swali la DC linajibika and i can tell you i have been there ndio maana nasema everything is possible with determination najua mtakuja na facts mbali mbali lakini still my argument inabaki pale pale it is possible more than you could ever imagine..
 
Back
Top Bottom