Fanikisha mahusiano ya mbali. . .

Long distance relationship ipo, ila kabla ya kushare uzoefu wangu katika mada hii, ningependa mtoa mada kuweka wazi anina ya relationship anayozungumzia.

Kwa mfano unaweza kuwa katika normal relationship, na moja kati yenu ikambidi kusafiri kikazi, kimasomo n.k. Ama wengi sasa hivi wamekuwa akianzisha mahusiano ya mbali pasi kukutana. Kama ni aina hii ya mahusiano basi ni lazima pande zote mbili ziwe na moyo wa chuma, na ni baada ya kuaminiana
 
Labda niulize swali nyie mnaobisha kwamba haiwezekani naomba mnipe sababu moja ya msingi why do you think kwamba haiwezekani halafu msiweke visingizio vya umbali maana hapo hiyo bado sio sababu..
 
Long distance relationship ipo, ila kabla ya kushare uzoefu wangu katika mada hii, ningependa mtoa mada kuweka wazi anina ya relationship anayozungumzia.

Kwa mfano unaweza kuwa katika normal relationship, na moja kati yenu ikambidi kusafiri kikazi, kimasomo n.k. Ama wengi sasa hivi wamekuwa akianzisha mahusiano ya mbali pasi kukutana. Kama ni aina hii ya mahusiano basi ni lazima pande zote mbili ziwe na moyo wa chuma, na ni baada ya kuaminiana

Zote Kibunango.
Walioanza karibu ikabidi mmoja asafiri ,pia walioanza tayari wakiwa mbali mbali.
 
kwa uzoefu wangu wanawake ndo wengi hawawezi
mume anafungwa jela mwaka mmoja tu..
akitoka anakuta 'nyumba ina harufu za watu wengine kabisa' lol

Ni uzoefu au biasiness? Wanawake wangapi wanafungwa? Wanaume wangapi wanaongeza wake wengine while their wives r still alive n kicking?
 
Labda niulize swali nyie mnaobisha kwamba haiwezekani naomba mnipe sababu moja ya msingi why do you think kwamba haiwezekani halafu msiweke visingizio vya umbali maana hapo hiyo bado sio sababu..

HUMAN NATURE. . . nimefanya tu kuwajibia.
Kisingizio chao ni kwamba huwezi kuvumilia kwa muda mrefu maana lazima vishawishi vitembeba/tubeba.
 
Jibaba kwa mara ya kwanza leo hatukubaliani kabisa kwenye huu mjadala hamna cha sudden death wala nini..tatizo watu hawana uvumilivu like i said everything is possible ikiwa wote wawili mtakuwa determined...
hehehe hakuna determination against human nature kuna kujitahidi tu, hao unaowaona wote wanajitahidi tu lakini hawako determined. Umeliona suala la mstaafu DC alilomuuliza Lizzy?
 
Kloro tafadhali usilazimishe kila mtu awe kama wewe au sijui niseme nyie.

Kama nyie hamwezi, wengine tunaweza.
Na swali nimeshajibu NDIO. . .nini tena mnataka?

Swali la DC linajibika and i can tell you i have been there ndio maana nasema everything is possible with determination najua mtakuja na facts mbali mbali lakini still my argument inabaki pale pale it is possible more than you could ever imagine..
Ili tuende sambamba labda nikuulizeni haka kasuali.

Hivi mapenzi ni mateso?

Na naomba muelewe kwamba mimi naongelea long range gap na sio watu kila miezi kazaa mnaonana halaf mukaita ni mapenzi ya umbali
 
HUMAN NATURE. . . nimefanya tu kuwajibia.
Kisingizio chao ni kwamba huwezi kuvumilia kwa muda mrefu maana lazima vishawishi vitembeba/tubeba.
HUMAN NATURE wapi banaaa....wanajiendekeza hamna cha Human Nature wala Man Nature wala Woman Nature hivyo ni visingizio tu...tena kuna wengine hapa wanabisha kwamba haiwezekani wakati hata they have never been there..watu wanazungumzia ku-cheat nashangaa sana maana ku-cheat haina long distance relationship wala hata mkiwa mnaishi pamoja mtu akiamua kucheat he\she will cheat on you doesn't matter yuko mbali au unaishi naye nyumba moja..
 
mmmh ya wanaume je? ukigeuka tu kidogo upo safarini hata gari haijaondoka kituoni watu washahamia loh?

umenichekesha
inawezekana kwa walio waaminifu wenye mapenzi ya dhati!!ambao ni wachache mno
wanaume wengi haiwezekani
 
Ili tuende sambamba labda nikuulizeni haka kasuali.

Hivi mapenzi ni mateso?

Na naomba muelewe kwamba mimi naongelea long range gap na sio watu kila miezi kazaa mnaonana halaf mukaita ni mapenzi ya umbali
Kwahiyo we unaongelea ambao hawaonani kwa miaka mingapi?

LDR ni LDR hata kama mnaonana kila mwezi.Kinachohesabika ni ule umbali mnaoishi from one another.

Alafu kwani kuwa mbali na mpenzi wako kwa muda ni mateso?Kama ni mateso mbona hata hao wanaolala na
kuamka pamoja wanayo mengi tu?
Kuna watu wanaishi nyumba moja ila unyumba ni hadithi na mawasiliano kati yao ni zero.
 
HUMAN NATURE wapi banaaa....wanajiendekeza hamna cha Human Nature wala Man Nature wala Woman Nature hivyo ni visingizio tu...tena kuna wengine hapa wanabisha kwamba haiwezekani wakati hata they have never been there..watu wanazungumzia ku-cheat nashangaa sana maana ku-cheat haina long distance relationship wala hata mkiwa mnaishi pamoja mtu akiamua kucheat he\she will cheat on you doesn't matter yuko mbali au unaishi naye nyumba moja..

LIKE like and LIKE.
 
Ili tuende sambamba labda nikuulizeni haka kasuali.

Hivi mapenzi ni mateso?

Na naomba muelewe kwamba mimi naongelea long range gap na sio watu kila miezi kazaa mnaonana halaf mukaita ni mapenzi ya umbali
Kloro hiyo gap unayoisema wewe naielewa sana niliishakaa gap zaidi ya mwaka mmoja sasa ndio maana nasema kuna watU hawawezi na kuna watu wanaweza tukubaliane hivyo maana kama kwako inakuwa ngumu usifanye na kwa wenzako ionekane ngumu..
 
Tuanze na kitu simple, umbali wa mwaka, but mnaonana kila baada ya miezi tatu...

Hii ni rahisi sana...kwa sababu muda huo wa mwaka mmoja ni mfupi sana na kama mko busy...one can easily deal with it!!

Miezi mpaka miaka...
Ila kuwe na kuonana every now and then. Preferable a couple of times a year if possible.

Lizzy,

Kwanza ndoa ya kukaa pamoja muda wote inaweza kuboa sana. Binafsi napenda sana kupata nafasi ya kuwa mbali na Bibi DC walau mara moja kwa mwenzi. Kwa hiyo kuwa katika mazingira ambayo tunaweza kuonana hata baada ya miezi 3 siyo tatizo. Hata hivyo jambo kama hilo linatakiwa liwe la muda mfupi. Mfano shule ya miaka 2-3.

Siwezi kukubaliana na jambo la mtu kuwa na kazi ya kudumu Mwanza au Kigoma wakati mwenzake yuko Dar......Binafsi naona haifai kabisa!! Ndoa ni ndoa na uchumba ni uchumba...Jambo kama hilo linafaa kwa wachumba na siyo wanandoa!
 
Kwahiyo we unaongelea ambao hawaonani kwa miaka mingapi?

LDR ni LDR hata kama mnaonana kila mwezi.Kinachohesabika ni ule umbali mnaoishi from one another.

Alafu kwani kuwa mbali na mpenzi wako kwa muda ni mateso?Kama ni mateso mbona hata hao wanaolala na kuamka pamoja wanayo mengi tu?

Aaaargh hiyo distance ya kila miezi minne mnaonana hata mbuzi anaweza kuvumilia (though pia sio rahisi kiviiile labda ukuwe mwaminifu kama mimi), mimi nimetoa mfano wa rafiki yangu ambae ashakata nyundo tano hapa na ana mwenza yuko mbali na yeye hata travel document hana, mzembe aliuchuna sana lakini sasa hivi anafyeka kiaina, na jamaa alikuwa anampenda manzi wake kitaitanic yaani
 
Kwahiyo we unaongelea ambao hawaonani kwa miaka mingapi?

LDR ni LDR hata kama mnaonana kila mwezi.Kinachohesabika ni ule umbali mnaoishi from one another.

Alafu kwani kuwa mbali na mpenzi wako kwa muda ni mateso?Kama ni mateso mbona hata hao wanaolala na
kuamka pamoja wanayo mengi tu?
Kuna watu wanaishi nyumba moja ila unyumba ni hadithi na mawasiliano kati yao ni zero.
Hawa wajanja kweli sasa hivi wamebadilisha hawachelewi kusema GAP la miaka mitano ndio long distance relationship..
 
Jibaba kwa mara ya kwanza leo hatukubaliani kabisa kwenye huu mjadala hamna cha sudden death wala nini..tatizo watu hawana uvumilivu like i said everything is possible ikiwa wote wawili mtakuwa determined...

Dogo,

Determination is not immortal!! It has to be time bound!!
 
Kloro hiyo gap unayoisema wewe naielewa sana niliishakaa gap zaidi ya mwaka mmoja sasa ndio maana nasema kuna watU hawawezi na kuna watu wanaweza tukubaliane hivyo maana kama kwako inakuwa ngumu usifanye na kwa wenzako ionekane ngumu..

Jibaba kuna point unaimiss hapa. Unaweza ukakaa wiki nzima bila ya kula lakini hii haimaanishi kwamba ndio inawezekana kukaa wiki bila kula. Na unapokuwa na njaa ni very easy kuhongwa chakula kuliko unapokua umeshiba. dig deep utaipata point yangu
 
Hahahahah. . .
. . . .and we'll always be.Yani bado sijaona huo ugumu mnaoongelea kabisa. Kama kuvumilia manyanyaso ndani ya ndoa/nyumba watu wanaweza iweje washindwe kuvumilia kuwa mbali mbali kwa muda mfupi?

Lizzy,

Hapa tunaongelea watu wawili wenye akili zao zinazowatosha wenyewe....Kama ingekuwa mtu na wardrobe yake ambayo kaacha ameifungia chumbani nisingekuwa na tatizo kabisa!!
 
Mimi kidogo mpaka ninajisifu,niko married to someone,lakini ninakuhakikishieni sijawahi kum-cheat hata siku moja.Ninafanya kazi mbali na yeye lakini japo bado mimi ni kijana in my mid-twenties nimemudu kuyashinda majaribu,i don't care kama yeye ana-cheat dhidi yangu.
 
Back
Top Bottom