Fanikisha mahusiano ya mbali. . .

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,799
59,263
Watu hawaishi kuuliza kama inawezekana kuwa na mtu ambae yuko mbali nae na mahusiano yao yakasurvive.
Jibu ni NDIO, ila kuna mambo ambayo mnatakiwa mzingatie ili mfanikishe mahusiano yenu.

First things first...
1.Kama wewe ni mtu ambae una "commitment issues" this is not for you.Kuweza kuvumilia kutokuwepo kwa mwenzio karibu kunahitaji kujitoa kwa hali ya juu na dhamira iliyonyooka.
2.Kama humpendi mwenzako (unamtamani tu) this is not for you. Ukiwa unatamani kitu ambacho hukipati kwa wakati ni rahisi kuangalia kile kilichopo karibu yako.
3.Kama humwamini mwenzi wako/mwenzi wako hakuamini wewe au wewe mwenyewe hujiamini this is not for you. Bila kuaminiana mtakua na mtafaruku kila siku. Umbali utasababisha maneno/kuwekana hatiani na kuhisiana vibaya kuwepo sana.Kitu ambacho kitasababisha ugomvi mara kwa mara na kusababisha mrudi nyuma kimahusiano badala ya kusonga mbele.
4.Kama huna malengo ya mbali na mwenzako this is not for you. Ikiwa huoni ukiwa na huyo mwenzako miaka miwili mitatu mbeleni mwache aende tu. Hamna haja ya kumfunga mwenzako na mahusiano ya mbali wakati hana umuhimu sana kwako.
5.Kama ni mwepesi wa kuchukua maneno ya watu bila kuyafanyia kazi this is not for you.Utaishia kupata presha bure na kugombana na mwenzio kila siku.
6.Kama ni mvivu wa mawasiliano this is not for you. Kitu pekee kinachoweza kukuweka karibu na mwenzako wakati mko mbali mbali ni mawasiliano.E-mail, Simu, Texting, Skype n.k ndivyo vinavyoweza kupunguza umbali uliopo kati yenu walau kidogo.Hivyo kama hili huliwezi basi jua fika ni muda tu haujafika wa mahusiano yenu kuanguka.

Kwa wale ambao wanafikiria kujiingiza kwenye mahusiano ya mbali jua inawezekana ikiwa tu una nia ya kuyawezesha mahusiano yenu.Kama huna bora uende uendako siku ukarudi na kumkuta mwenzako bado yuko yuko ndio ujaribu.

Kwa wale ambae ndio wanahangaika nayo sasa hivi muhimu ni uwe mwaminifu,uwe na imani na mwenzako,ujitume kwenye swala zima la mawasiliano na msisahau kuongelea "them good times".Hii inasaidia kukumbushana umuhimu wenu kwa kila mmoja na kwamba japo mnakosana kwa muda, mtakapoweza kuwa karibu tena maisha yenu yatapendeza. Mjali mwenzako kwa maneno mazuri, epuka kuanzisha maugomvi yasiyo na pembe wala mkia, usimpe sababu ya kufurahia umbali wako.

Mwisho. . . kama ni kucheat hata unaelala nae kitanda kimoja kila siku, unaekunywa nae chai kila asubuhi na kubebana kazini kila jioni anaweza kucheat, hivyo hili haliletwi na umbali bali tabia binafsi. Hivyo kama wewe ni mvumilivu go ahead and give it a try huku ukiomba na kuamini kwamba mwenzako nae yuko hivyo hivyo pia kama hajakupa sababu ya kufikiria vingenevyo.

Nawatakieni LDS(s) zitakazovuka na kukwepa vikwazo. Kila la heri wote mnaohusika.

PS
Mawazo zaidi na experience zinakaribishwa.
 
Lizzy,

Unaongelea umbali gani? Na huo uhusiano utakaa hivyo kwa muda gani??

Binafsi naamini naweza ila sipendi kabisa...!!! Labda kama kuna ulazima sana wa kuwa mbali na tena kwa muda mfupi tu!
 
Lizzy,

Unaongelea umbali gani? Na huo uhusiano utakaa hivyo kwa muda gani??

Binafsi naamini naweza ila sipendi kabisa...!!! Labda kama kuna ulazima sana wa kuwa mbali na tena kwa muda mfupi tu!
Babu naongelea umbali wowote, hata ule ambao mmoja anaweza kuwa upande wa pili wa dunia. Muda inategemea, hata kama atakuwepo huko kwa muda mrefu kidogo mkipanga vizuri na kujitoa mnaweza mkakutana mara kwa mara mpaka hicho kinachomweka mbali kiishe.
 
Watu hawaishi kuuliza kama inawezekana kuwa na mtu ambae yuko mbali nae na mahusiano yao yakasurvive.
Jibu ni NDIO, ila kuna mambo ambayo mnatakiwa mzingatie ili mfanikishe mahusiano yenu.

First things first...
1.Kama wewe ni mtu ambae una "commitment issues" this is not for you.Kuweza kuvumilia kutokuwepo kwa mwenzio karibu kunahitaji kujitoa kwa hali ya juu na dhamira iliyonyooka.
2.Kama humpendi mwenzako (unamtamani tu) this is not for you. Ukiwa unatamani kitu ambacho hukipati kwa wakati ni rahisi kuangalia kile kilichopo karibu yako.
3.Kama humwamini mwenzi wako/mwenzi wako hakuamini wewe au wewe mwenyewe hujiamini this is not for you. Bila kuaminiana mtakua na mtafaruku kila siku. Umbali utasababisha maneno/kuwekana hatiani na kuhisiana vibaya kuwepo sana.Kitu ambacho kitasababisha ugomvi mara kwa mara na kusababisha mrudi nyuma kimahusiano badala ya kusonga mbele.
4.Kama huna malengo ya mbali na mwenzako this is not for you. Ikiwa huoni ukiwa na huyo mwenzako miaka miwili mitatu mbeleni mwache aende tu. Hamna haja ya kumfunga mwenzako na mahusiano ya mbali wakati hana umuhimu sana kwako.
5.Kama ni mwepesi wa kuchukua maneno ya watu bila kuyafanyia kazi this is not for you.Utaishia kupata presha bure na kugombana na mwenzio kila siku.
6.Kama ni mvivu wa mawasiliano this is not for you. Kitu pekee kinachoweza kukuweka karibu na mwenzako wakati mko mbali mbali ni mawasiliano.E-mail, Simu, Texting, Skype n.k ndivyo vinavyoweza kupunguza umbali uliopo kati yenu walau kidogo.Hivyo kama hili huliwezi basi jua fika ni muda tu haujafika wa mahusiano yenu kuanguka.

Kwa wale ambao wanafikiria kujiingiza kwenye mahusiano ya mbali jua inawezekana ikiwa tu una nia ya kuyawezesha mahusiano yenu.Kama huna bora uende uendako siku ukarudi na kumkuta mwenzako bado yuko yuko ndio ujaribu.

Kwa wale ambae ndio wanahangaika nayo sasa hivi muhimu ni uwe mwaminifu,uwe na imani na mwenzako,ujitume kwenye swala zima la mawasiliano na msisahau kuongelea "them good times".Hii inasaidia kukumbushana umuhimu wenu kwa kila mmoja na kwamba japo mnakosana kwa muda, mtakapoweza kuwa karibu tena maisha yenu yatapendeza. Mjali mwenzako kwa maneno mazuri, epuka kuanzisha maugomvi yasiyo na pembe wala mkia, usimpe sababu ya kufurahia umbali wako.

Mwisho. . . kama ni kucheat hata unaelala nae kitanda kimoja kila siku, unaekunywa nae chai kila asubuhi na kubebana kazini kila jioni anaweza kucheat, hivyo hili haliletwi na umbali bali tabia binafsi. Hivyo kama wewe ni mvumilivu go ahead and give it a try huku ukiomba na kuamini kwamba mwenzako nae yuko hivyo hivyo pia kama hajakupa sababu ya kufikiria vingenevyo.

Nawatakieni LDS(s) zitakazovuka na kukwepa vikwazo. Kila la heri wote mnaohusika.

PS
Mawazo zaidi na experience zinakaribishwa.

Thaaank yu for the thread sista,nimefumbuka macho indeed......
 
kwa uzoefu wangu wanawake ndo wengi hawawezi
mume anafungwa jela mwaka mmoja tu..
akitoka anakuta 'nyumba ina harufu za watu wengine kabisa' lol
Kama mtu sio mwaminifu hata ukimpa kisogo tu atakua ashakonyezana na partner wake in crime achilia mbali kuwekwa jela au kusafiri kwa mwaka mzima.
 
kwa uzoefu wangu wanawake ndo wengi hawawezi
mume anafungwa jela mwaka mmoja tu..
akitoka anakuta 'nyumba ina harufu za watu wengine kabisa' lol

Mkuu umenena




Hekima ni Busara, PAW
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif
michael-jackson.gif

Kuwa na Busara
 
wacheni kudanganyana hapa....long distance dnt work period.
yange-work kama binadamu wangekuwa wakamilifu.

Kwahiyo wale ambao yao yamesurvive sio binadamu kama wewe? Unaedanganya ni wewe unaesema hamna anaeweza, wapo wanaoweza kama ambavyo wapo wasioweza. Muhimu ujue uko kwenye kundi gani bila kulazimisha kila mtu ajiunge na wewe.
 
Watu hawaishi kuuliza kama inawezekana kuwa na mtu ambae yuko mbali nae na mahusiano yao yakasurvive.
Jibu ni NDIO, ila kuna mambo ambayo mnatakiwa mzingatie ili mfanikishe mahusiano yenu.

First things first...
1.Kama wewe ni mtu ambae una "commitment issues" this is not for you.Kuweza kuvumilia kutokuwepo kwa mwenzio karibu kunahitaji kujitoa kwa hali ya juu na dhamira iliyonyooka.
2.Kama humpendi mwenzako (unamtamani tu) this is not for you. Ukiwa unatamani kitu ambacho hukipati kwa wakati ni rahisi kuangalia kile kilichopo karibu yako.
3.Kama humwamini mwenzi wako/mwenzi wako hakuamini wewe au wewe mwenyewe hujiamini this is not for you. Bila kuaminiana mtakua na mtafaruku kila siku. Umbali utasababisha maneno/kuwekana hatiani na kuhisiana vibaya kuwepo sana.Kitu ambacho kitasababisha ugomvi mara kwa mara na kusababisha mrudi nyuma kimahusiano badala ya kusonga mbele.
4.Kama huna malengo ya mbali na mwenzako this is not for you. Ikiwa huoni ukiwa na huyo mwenzako miaka miwili mitatu mbeleni mwache aende tu. Hamna haja ya kumfunga mwenzako na mahusiano ya mbali wakati hana umuhimu sana kwako.
5.Kama ni mwepesi wa kuchukua maneno ya watu bila kuyafanyia kazi this is not for you.Utaishia kupata presha bure na kugombana na mwenzio kila siku.
6.Kama ni mvivu wa mawasiliano this is not for you. Kitu pekee kinachoweza kukuweka karibu na mwenzako wakati mko mbali mbali ni mawasiliano.E-mail, Simu, Texting, Skype n.k ndivyo vinavyoweza kupunguza umbali uliopo kati yenu walau kidogo.Hivyo kama hili huliwezi basi jua fika ni muda tu haujafika wa mahusiano yenu kuanguka.

Kwa wale ambao wanafikiria kujiingiza kwenye mahusiano ya mbali jua inawezekana ikiwa tu una nia ya kuyawezesha mahusiano yenu.Kama huna bora uende uendako siku ukarudi na kumkuta mwenzako bado yuko yuko ndio ujaribu.

Kwa wale ambae ndio wanahangaika nayo sasa hivi muhimu ni uwe mwaminifu,uwe na imani na mwenzako,ujitume kwenye swala zima la mawasiliano na msisahau kuongelea "them good times".Hii inasaidia kukumbushana umuhimu wenu kwa kila mmoja na kwamba japo mnakosana kwa muda, mtakapoweza kuwa karibu tena maisha yenu yatapendeza. Mjali mwenzako kwa maneno mazuri, epuka kuanzisha maugomvi yasiyo na pembe wala mkia, usimpe sababu ya kufurahia umbali wako.

Mwisho. . . kama ni kucheat hata unaelala nae kitanda kimoja kila siku, unaekunywa nae chai kila asubuhi na kubebana kazini kila jioni anaweza kucheat, hivyo hili haliletwi na umbali bali tabia binafsi. Hivyo kama wewe ni mvumilivu go ahead and give it a try huku ukiomba na kuamini kwamba mwenzako nae yuko hivyo hivyo pia kama hajakupa sababu ya kufikiria vingenevyo.

Nawatakieni LDS(s) zitakazovuka na kukwepa vikwazo. Kila la heri wote mnaohusika.

PS
Mawazo zaidi na experience zinakaribishwa.

Lecture nimeikubali!
 
Ndio maana nikasema hili sio la kila mtu.Kila mtu afanye mambo kuendana na uwezo wake,hamna haja ya kulazimisha.


Sorry Lizzy,

Bado naomba tu unifafanulie kidogo na pia unisamehe kama nitakuwa nakusumbua...

Why long distance relationship kama kuna uwezekano wa kuwa na wallet yako mfukoni?? Yaani kwa nini kuwa katia halo hiyo?? Na hapa sijui hata ndoa inahusika???

Kuna jamaa alinambia hivi...."Dogo DC, hakikisha wewe na familia yako mnaishi pamoja kama inawezekana. Huo ndio mpango wa mwenyezi Mungu. Don't allow the means of life to outweigh the meaning of life"

Babu DC!
 
Back
Top Bottom