Falsafa za wanawake wasioolewa

Yes,life can't be uniform,lakini nakushauri KAMA NA WEWE ULIKUWA UNAISHI HIVO ACHA MARA MOJA NA SIO MAISHA HAYO IKIWA TU UMESHATIMIZA UMRI WA MIAKA ZAIDI YA 25 NA UNAJIMUDU KIMAVAZI,MALAZI NA KULA BASI NI WAKATI MUAFAKA WA KUISHI NA MTU ILI UWE NA WARITHI WA BAADAE NA VILE UNAVYOVITAFUTA SASA VIWE NA MAANA,LA SIVYO HAKUNA SABABU YA KUJIANGAISHA NA KUTUMIA AKILI NYINGI ZA KUTAFUTA WAKATI HAKUNA WANAOKUTEGEMEA KWA LOLOTE,ZAIDI ZAIDI NDUGU WANAZIPIGIA MAHESABU MALI ZAKO,LABDA KAMA UNA MATATIZO YA KIAFYA NDIO UNA JINSI.


Hivi, wajua pana watu wameoa au kuolewa lakini wanajuta !?

Japo, kumbuka sijasema watu wasioelewa ama kuoa ila hicho kitu kiwe ni maamuzi binafsi na siyo shinikizo la jamii, ndugu , jamaaa na marafiki.

Maisha hayana formula.
 
Mkuu, unacheka eeeh!?
Haya maisha, kila mtu bora aishi anavyoona ni rahisi kwake na anafurahia maisha.

Ukitaka kufurahisha kila mtu, ni bora ukauze ice creams , maana ndizo mteja akionja tu ni lazima atabasamu.

Mimi ni mwanaune. Ila naona kuwa , kama mwanamke ama mwanaune anaamua kutoolewa/ kuolewa na yuko na amani acha aishi apendavyo.

Any way, her life, its her choice!
Unachekesha kijana haya mawazo hayata kusaidia kamwe ila kwa kuwa mnajua kubisha time itaongea badili fikra
 
Shida kubwa wanawake wanshindwa kutambua Mwanamke wa kuolewa anatengenezwa umri kati ya miaka 22 hadi 25 ambapo mwanaume atamuoa akiwa na miaka 27 hadi 30 lakini umri huo sasa hawa dada zenu ndo muda wa kuvaa viguo vya nusu uchi na kujifunza vitu vya hovyo hovyo na kuwa na mabwana wengi badala ya kujitunza .

Wakija kufika umri wa kuolewa miaka 25 hadi 30 wanakua na matiti kama ndala za umoja uvungu umeharibika haufai nani atakuoa sasa.

MTAISHIA KUCHEZA KWAITO HARUSI ZA WADOGO ZENU MSIPO BADILIKA...

Sent using Jamii Forums mobile app
umenifanya nicheke sana.
 
hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
mwanaume hazeeki lkn mwanamke anazeeka mapema hiyo inatokana na mtazamo wa jamii toka adam hadi leo
 
Sheria za kijamii zinashangaza sana. Aliozitunga sijui nani kwanza zingine sio relevant kabisa kama hii ya kutaka kila mwanamke aolewe wakati waoaji wenye vigezo hawapo. Hii mitazamo inafanya wanawake wanyanyaswe huko ndoani wakitafuta heshima ya jamii. SioSawa.

Kuna mambo mengi sana ya kufanya duniani.
 
Wee kila MTU na maisha yake hatuwez kusikiliza wala kufata mitazamo yako wee sio mungu kama upon ndoan na unaona no vyema in wewe acha tuenjoy life tunayopenda maisha hayana formula

kama unaishi bila formula HUJIELEWI na wala HUJITAMBUI dada. Mwenyezi Mungu ameamrisha:

Mwanzo 1:28
28 Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”

Waefeso 5:23
"..Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwenyewe ni Mwokozi wa kanisa."

na pia Waefeso 5:31
31 “..Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataungana na mkewe, na hawa wawili wata kuwa mwili mmoja.”

Mathayo 19: 4-5
4 Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, 5 na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?

Mathayo 19:10

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.
11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
12 Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: Wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.”

nasubiri jibu lako anah
 
Shida kubwa wanawake wanshindwa kutambua Mwanamke wa kuolewa anatengenezwa umri kati ya miaka 22 hadi 25 ambapo mwanaume atamuoa akiwa na miaka 27 hadi 30 lakini umri huo sasa hawa dada zenu ndo muda wa kuvaa viguo vya nusu uchi na kujifunza vitu vya hovyo hovyo na kuwa na mabwana wengi badala ya kujitunza .

Wakija kufika umri wa kuolewa miaka 25 hadi 30 wanakua na matiti kama ndala za umoja uvungu umeharibika haufai nani atakuoa sasa.

MTAISHIA KUCHEZA KWAITO HARUSI ZA WADOGO ZENU MSIPO BADILIKA...

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha, mkuu wanavaaga zile bra za kubana matiti ukija yaona kiuhalisia humrudii tena.. halafu unakuta uvungu umeharibik mpaka ngozi yake inaning'inia
 
Hahahahahaha! Kama alishawahi olewa kabla then akaachika,ndo anazungumza falsafa hiyo.lakini hajawahi hata kuolewa anazungumza hivyo kufariji moyo,na kujipa matumaini.utamu wa ngoma uingie uicheze.
Hii falsafa hata single mother wanaitumia sana mkuu.
 
Hivi, wajua pana watu wameoa au kuolewa lakini wanajuta !?

Japo, kumbuka sijasema watu wasioelewa ama kuoa ila hicho kitu kiwe ni maamuzi binafsi na siyo shinikizo la jamii, ndugu , jamaaa na marafiki.

Maisha hayana formula.
Ndio najua,wapo watu wanajuta kuwepo na hao wanaoishi nao,hivo ndivyo dunia ilivyo na ni lazima yawepo hao ili maisha yawe maisha,maisha si kitu kama hujakutana na mitihani ya namna yoyote na moja ya mitihani ya wanadamu tena mikubwa kabisa basi ni hili swala la mahusiano. Lakini bado wewe kama wewe na pengine kama mwenzako uliyeachana nae anavyosonga mbele na maisha yake ndivyo na wewe inatakiwa hivyo hivyo usonge mbele na maisha yako. Lakini pia maneno yangu mimi si sheria,ila hapa tunapanuana mawazo tu,ni hiari yako kuyachukua au kuyaacha. KAMA UHUSIANO WAKO UNAUMBA AU ULIYUMBA HAIMAANISHI NDIO MWISHO WA KUANZISHA MAHUSIANO NA HAITAKUWA MWISHO WA KUANZISHA MAHUSIANO HADI PALE UNAPOPELEKWA KABURINI,KWASABABU WEWE KUWA NA MAHUSIANO YENYE MIGOGORO SI WA KWANZA WALA SI WA MWISHO WEWE ANGALIA MAISHA YAKO.
 
Ndio najua kuoa au kuolewa ni chaguo la mtu na pia si sheria,lakini sio suala la jamii yangu,ila ni jamii zote duniani watu WANAOANA AU KUISHI PAMOJA,ILA KIUTU NA KIUBINADAMU,MTU ANAYEISHIMIKA KTK JAMII NI YULE ALIYEOA AU KUOLEWA AU ANAISHI NA MTU. Haina maana unatafuta maisha ukiwa hakuna unaowatafutia,au hakuna wanaokutegemea,ina maana gani sasa ya kuishi si ujinyonge tu ...... Kwa mfano leo hii wewe ndio umeshaishi maisha yako ya kutokuwa na mtu maana yake HUTOKUWA NA MTOTO/WATOTO sasa kesho na keshokutwa umekufa mali ulizozitafuta unamuachia nani au zilikuwa na sababu gani ya kuzitafuta ........... ?
Naunga mkono hoja mkuu! Tatizo linaanza huyo anayehuburi ndoa sio lazima,haliyakuwa utamkuta ana watoto,au anatafuta watoto wa kwa udi na uvumba,au anatafuta migegedo,kwanini asiishi kama bwana yesu? Akiishi kkama bwana yesu akizungumza hivyo atakuwa sahihi.na hakuna atakaye mpangia
 
Naunga mkono hoja mkuu! Tatizo linaanza huyo anayehuburi ndoa sio lazima,haliyakuwa utamkuta ana watoto,au anatafuta watoto wa kwa udi na uvumba,au anatafuta migegedo,kwanini asiishi kama bwana yesu? Akiishi kkama bwana yesu akizungumza hivyo atakuwa sahihi.na hakuna atakaye mpangia
Upo sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom