Falsafa za wanawake wasioolewa

Mkuu, unacheka eeeh!?
Haya maisha, kila mtu bora aishi anavyoona ni rahisi kwake na anafurahia maisha.

Ukitaka kufurahisha kila mtu, ni bora ukauze ice creams , maana ndizo mteja akionja tu ni lazima atabasamu.

Mimi ni mwanaune. Ila naona kuwa , kama mwanamke ama mwanaune anaamua kutoolewa/ kuolewa na yuko na amani acha aishi apendavyo.

Any way, her life, its her choice!
Hahahahaha! Unaamua kujipachika hadi jinsia kujifariji.ikiwa tangu viumbe sisi aina ya binadamu tu umbwe kwenye dunia hii,mfumo wetu wa maisha ni kuwa wawili wawili wa jinsia tofauti,ukianza na Adam na Eva.sasa wewe binadamu gani ukataka uishi peke yako? Utakuwa na matatizo na haujakamilika.
 
Ngoja tuendelee kusubiri nijuavyo kila mtu anariziki yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja! Hiyo ndo point ya msingi,sio mtu anakuja humu jukwaani anakuambia anajisikia amani kutoolewa.Atakuwa na matatizo na hajakamilika kama binadamu wengi.ikiwa mfumo huo ulianza tangu dunia inaanza.na watu wote waliishi wawili wawili.
 
Kuoa na kuolewa ni lazima kuzaa ndiyo majaliwa ya mwenyezi Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha! Maji yamezidi unga hadi watu wanaamua kugeuza maandiko matakatifu,sasa huyo anaposema kuolewa au kuoa sio lazima,haoni kwamba anapingana na maandiko matakatifu? Afikirie kama watu tusingeoa au kuolewa,dunia ingekuaje?
 
Hahahahaha! Unaamua kujipachika hadi jinsia kujifariji.ikiwa tangu viumbe sisi aina ya binadamu tu umbwe kwenye dunia hii,mfumo wetu wa maisha ni kuwa wawili wawili wa jinsia tofauti,ukianza na Adam na Eva.sasa wewe binadamu gani ukataka uishi peke yako? Utakuwa na matatizo na haujakamilika.



I'm a man. Ila, kwa mwanamke au mwanaume asiyetaka au kupenda hiyo lifestyle ya ndoa aachwe aishi anavyopenda yeye.
Kwa nini jamii iamue maisha ya mtu au wana jamii wenzao!?
Tuacheni unaaaa!!
 
I'm a man. Ila, kwa mwanamke au mwanaume asiyetaka au kupenda hiyo lifestyle ya ndoa aachwe aishi anavyopenda yeye.
Kwa nini jamii iamue maisha ya mtu au wana jamii wenzao!?
Tuacheni unaaaa!!
Hakuna asiyependa hiyo lifestyle ya ndoa! Ikiwa hata hao mitume na manabii waliishi hivyo,wewe binadamu wa kawaida umekuwa nani hadi ukwepe hilo? Unaweza ukakwepa hilo tu ukiwa abnormal
 
Kama Mungu yupo na anapenda watu wazae kwa nini wengine wazaliwe na biological deformations!?
Kwa nini alikupa viungo vya uzazi? Kwa nini akawaumba mwanaume na mwanamke? Kwa nini akawajaza matamanio ndani ya miili yao? Ina maana Alikuwa hajui kuna hiyo biological deformations? Wewe jiridhiwaze tu humu mtandaoni.
 
[HASHTAG]#MZEETOLA[/HASHTAG],

Her life , its her choice!

Sasa wewe tatizo lako nini!?

Mfano, Binti tangia anazaliwa kwao hajawahi kuchapwa wala kufokewa.

Leo, mwanaume anamwambia huyo Binti. Ze ze time I see you, I love you, you know , ze ze ze love. I have for you , its killing you.
Haaa haaaa teeh teeeh haaa English mbovu kama hiyo hapo, ila linaongea kwa upole na sitaha!

Then, hilo limtu baada ya wiki , moja ama mbili ghafula linaanza kuongea kama Simba anayeunguruma porini, na kujifanya bondia kwa Binti/mwanamke hapo unadhania wanawake wote watapenda kuolewa!?

Any way, kama wewe ni mwanaune, acha unaaa,
Kila mtu aishi maisha yanayompa furaha na siyo kufurahisha vikaragosi wasio kuwa na shukurani maishani .

Baadhi ya wanaume tunajifanya vichwa maji.
 
Na ndoa ni sehemu ya maisha ya mwadamu aliye kamilika,labda awe hajakamilka.

Lakini, siyo kuwa ni lazima.
Ndiyo maana hata wakiwa wanafungishwa ndoa wanaulizwa unakubali kuwa na huyu mke au Mme!?

Na ikitokea mmoja wao akasema hapana basi, hakuna kulazimishwa tena. Kwa hiyo siyo lazima.

Aiseee, huelewi kabisaaa eeeh , utakuwa vyeti feki au incomplete certificates, siyo bure Duuuuuuh!!
Maana , siyo kwa ubishi huu.
 
hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
ni uelewa mbaya tuu wa jamii.......tunahisi keshaliwa ....."je hajampata hata mmoja wa kuolewa nae"
 
Hata siku moja hakuna anayeishi kinyume na anayeishi kwa Amani hali ya kuwa yu kinyume na utaratibu wa wengi na agizo la Mungu.
Watakuwa wanajifariji tu machoni pa watu ila mioyo yao imejaa huzuni na Mawazo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom