Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,471
- 2,241
Hii ni zaidi ya confidence,,huyu anazungumzia hali halisi ya hisia zake na maumivu ya kutendwa ambayo haamini kama yanamtokea yeye,,hii in dalili ya kukosa self control,,,,Hayo ya Faiza si mageni katika jamii yetu. Wadada kibao wapo hivyo ila wanajishaua tu. Kosa lake ni kuyaweka hadharani mambo yake ya kipuuzi aliyoyafanya. By the way...napenda confidence yake, naishangaa mno!