Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha yaani big up faiza ni kutofautiana uwindaji tuu lakn wngi ni walewale!!!!!ukahaba wa cm cio wte mpka wajpange kimboka lol!!!
Sasa kwanini ulibadiri faster?ha ha ha ha ha Engineer2014Mi nilifungua nikasikia alikua na Dr. Chen sijui hotelin nikabadili fasta
Mkuu barafu nilikua nimekaa na watu wa heshima ilikua nomaaaSasa kwanini ulibadiri faster?ha ha ha ha ha Engineer2014
Ingekua wikiendi au ijumaa sijui ungetumia mbinu gani mkuuHanha ha ha ha ha mimi mwenyewe nilifukuza vitoto vyote sebuleni...Nikasingizia kesho shule viwahi kulala
Kwa hiyo hizi ndio biashara zao hao Bongo movies?Mkuu titimunda unanitisha aseeehuyu mdada nishagumiana naye sana pande za uchinani na hong kong.kuhusu mastaa kujiuza si habari mpya ndio kinachowaweka mjini.tena huwa wanakatiwaga na tiketi kabisa na washika dau china na huko uarabuni wanaenda wanalika huko na madon wa sembe wanapewa vidola vyao elfu kadhaa wananunua maguo chambuuchambuu wanayaleta kwenye mabutiki yao sinza na kino
ndio biashara zao mzee mbona wadau wanalijua hilo.kuna jamaa anaitwa Omary ndo alikuwaga mchati wao mkubwa kwa guangzhou skuiz amekuwa bankrupt.kuna wengine sasa anabeba ngada kutoka huku akifika kule anakabidhi mzigo wa watu then anaanza kuuza mwili akimaliza anafunga mzigo wa nguo anarudi nao bongo.mi ninazo hadi picha zao.ila tu ndo hivyo tunasitiriana aibuKwa hiyo hizi ndio biashara zao hao Bongo movies?Mkuu titimunda unanitisha aseee
Hata Sugu alimnunua sema alimg'ang'ania tuu...hahahaaliwahi kusema alimuambukiza sugu gono.... huyu faiza ni mkweli sana
Hawala hana talaka, Sugu akiurudia huu mzigo kula mambo ya pwani kama alivyodai kuwa mzee alikuwa akipenda hiyo kitu atakuja tena kutuhabarisha.Mtumishi hiyo inaitwa Chambo kujaribu kumfanya jamaa aone kweli anampenda sana na may be amechange lol
Wala hakwepeshi kwenye tundu....yaani huyu ndio wale ukienda kutongoza unajizungusha zungusha,anakusaidia mwenyewe kujitongozaHuyu maza yuko direct.
Mkweli,hazugi