Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,976
TEh teh..Huyu siku zinavyozidi kwenda namuona kama ndo anazidi kudataMtumishi hiyo inaitwa Chambo kujaribu kumfanya jamaa aone kweli anampenda sana na may be amechange lol
TEh teh..Huyu siku zinavyozidi kwenda namuona kama ndo anazidi kudataMtumishi hiyo inaitwa Chambo kujaribu kumfanya jamaa aone kweli anampenda sana na may be amechange lol
Uuuwih! hata wangu?Kila mwanamke anajiuza ni kiasi cha kujua bei yake tu!
Yani baada ya kusema yote hayo then unasema unampenda mtu na kuangua machozi kabisa...Huu uigizaji wa kiwango cha hollywood
Yani baada ya kusema yote hayo then unasema unampenda mtu na kuangua machozi kabisa...Huu uigizaji wa kiwango cha hollywood
nollywoodMtumishi hiyo inaitwa Chambo kujaribu kumfanya jamaa aone kweli anampenda sana na may be amechange lol
walikutana facebook eti tunamlaumu hahahaha kuna siku aliwahi sema sugu kamla jicho khaaaaaaaaaaaa kichaa tu huyuNazani yote ii ni kutokani na taboo zetu tunakua na mipaka ya kuongea ila mimi naona yuko sawa mbona tunamlaum tu yeye ina maana sugu alitoka wapi na yeye kama na yeye sio mnunuaji?
Niliangalia hicho kipindi, niliona aibu,
Namfahamu Sugu, namfahamu mama yake Sugu,
Kweli huyu dada ni aibu kwa familia ya Sugu;
Hata hivyo angetulia angeendelea kula mema ya Sugu.