Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
Kumekucha jamani, shime tukajiandalie pensheni zetu...fainali Uzeeni.
Tunavyowapiga vikumbo wastaafu wa Jumuiya ya Africa mashariki, na hata wengine kuwadhihaki, ina maana hatukumbuki ipo siku nasi twaweza angukia
kwenye mzunguko huo huo. Mwenye macho haambiwi ona, na mwenye masikio halazimishwi sikiliza.
What goes around comes around.... Usipojiwekea akiba ya uzeeni, ujue unachezea shilingi chooni.
Tujiandae! Ujana ni moshi...unafuka huoooo wenda zake!...kufumba na kufumbua utajikuta marafiki wanapungua
kwa rate ya mafungu ya 10%...na kujikuta mkiwa...
Je, umejiandalia nini uzeeni? Una japo kibanda cha kujistiri? au unabahatisha maisha wewe? wanao ni Insurance, lakini pia usiitegemee 100% ipo siku watakusaidia....Jiandaee...fainali uzeeni!
"Old age is like everything else. To make a success of it, you've got to start young."
"When marrying, ask yourself this question: Do you believe that you will be able to converse well with this person into your old age?
Everything else in marriage is transitory."
...Maisha ya uzee ni ukiwa!...story zako hazitakuwa na mvuto tena. Twaona wazee wengi wa miaka ile wamepitwa na wakati. hawawezi hata kuwapigia hata hadithi wajukuu sababu ya hizi Big Brother, Egoli, etc... watoto wa kisasa hawadanganywi na hadithi za sungura na fisi...
anza sasa kujijengea mahusiano mazuri na mkeo uwe na mtu wa kujifariji nae miaka hiyo ya ukiwa, ....fainali uzeeni!
Tunavyowapiga vikumbo wastaafu wa Jumuiya ya Africa mashariki, na hata wengine kuwadhihaki, ina maana hatukumbuki ipo siku nasi twaweza angukia
kwenye mzunguko huo huo. Mwenye macho haambiwi ona, na mwenye masikio halazimishwi sikiliza.
What goes around comes around.... Usipojiwekea akiba ya uzeeni, ujue unachezea shilingi chooni.
Tujiandae! Ujana ni moshi...unafuka huoooo wenda zake!...kufumba na kufumbua utajikuta marafiki wanapungua
kwa rate ya mafungu ya 10%...na kujikuta mkiwa...
Je, umejiandalia nini uzeeni? Una japo kibanda cha kujistiri? au unabahatisha maisha wewe? wanao ni Insurance, lakini pia usiitegemee 100% ipo siku watakusaidia....Jiandaee...fainali uzeeni!
"Old age is like everything else. To make a success of it, you've got to start young."
"When marrying, ask yourself this question: Do you believe that you will be able to converse well with this person into your old age?
Everything else in marriage is transitory."
anza sasa kujijengea mahusiano mazuri na mkeo uwe na mtu wa kujifariji nae miaka hiyo ya ukiwa, ....fainali uzeeni!