Alcady12
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 449
- 552
Tunapenda mnooo
Tunapenda mnooo
Hahaha me napenda mno kukumbatiwa bila continuation lakini hehhehe lol. Hata kwenye normal life, watu wangu wa karibu washazoea big hugs zanguHahahaaaa! Hilo joto linakotafutwa sasa balaa tupu, ile kitu ilitakiwa iwe na mabega aisee!
Na inashauriwa wanandoa msilale kwenye kitanda kikubwa, kitanda kidogo ni magic. Hata mkigombana mtaongea tu kitandani maana lazima mgusane lolKwanini unaweka mashuka mawili kitandani? Weka moja tena dogo ambalo mtabanana ili mjifunike wote teh
Toa shuka yako, mtaji Funika kikoiHuwa anapenda kufunga vikoi vya kimasai wakati wa kulala anajifunika jmn hz ndoa nikuomba mungu tu
Kitanda kisiposaidia shuka itasaidia teh au mtoNa inshauriwa wanandoa msilale kwenye kitanda kikubwa, kitanda kidogo ni magic. Hata mkigombana mtaongea tu kitandani maana lazima mgusane lol
Papuchi yako au yake? Mpe mwenzako asijekuchepukaMpe tu, kwan inakodishwa kama Yanga sc?
ni hivi kwamfano mie atanikumbatia yeye atakua ana face mgongo wangu,akigeuka mie nta m face yeye mgongoniAu vipi kulala upande mmoja hadi unachoka
Huko nje sawa hazitokuwa na continuation, ila zile za ndani ya blanketi! thubutuuuu!Hahaha me napenda mno kukumbatiwa bila continuation lakini hehhehe lol. Hata kwenye normal life, watu wangu wa karibu washazoea big hugs zangu
Ha ha ha ngoja ninyamaze kwanza. Ila kwani ukikumbatiwa tu ni lazima nanhiiHuko nje sawa hazitokuwa na continuation, ila zile za ngani ya blanketi! thubutuuuu!
Mambo mengine hayahitaji vitendoLakini mimi nataka tufanye kwa vitendo mamii au vipi?
Ah, mwenzangu.Labda kwa wenye ndoa zao rasmi washazoeana ila sisi wa uchochoroni utafwanywa hadi uombe poo!
Sio lazima and thats what we wr tryna say, ila sasa hawa viumbe bwana!Ha ha ha ngoja ninyamaze kwanza. Ila kwani ukikumbatiwa tu ni lazima nanhii
Uuuh hapo sasa kuna vitu unapandisha mwilini humu daaaah ok endelea kuleta shuleni hivi kwamfano mie atanikumbatia yeye atakua ana face mgongo wangu,akigeuka mie nta m face yeye mgongoni
au mie naweza kulala kwenye kifua chake au nikaweka kichwa changu kwenye bega lake,na mguu wangu mmoja unakua katikati ya miguu yake...