Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Nisivyopenda kubanwa banwa kwenye usingizi...
Ukisafiri jirani huwa anamkumbatia ndo maana analalaga, kwani ushawah rud ukakuta anasinzia!?Mke wangu nisipomkumbatia hapati usingizi,niki/akisafiri hua anateseka sana wakati wa kulala.
Mpe tu, kwan inakodishwa kama Yanga sc?Mmhuu. Wangu mie akinigusa tu tayari anataka tufanye. Acha nizikose tu hizo faida maana ntaishia kufwanywa kila siku.
Tunapenda mnoooKumbe hata mashemale wanapenda dyudyu!
Kwanini unaweka mashuka mawili kitandani? Weka moja tena dogo ambalo mtabanana ili mjifunike wote tehMim nina ujauzito but mume wangu anajifunika shuka lake na mimi shuka langu sas hilo kumbato sijui linapatikan vp
Huwa anapenda kufunga vikoi vya kimasai wakati wa kulala anajifunika jmn hz ndoa nikuomba mungu tuKwanini unaweka mashuka mawili kitandani? Weka moja tena dogo ambalo mtabanana ili mjifunike wote teh
Hahahaaa! Kuna watu hawaguswi, ukimgusa tu unalo!Mmhuu. Wangu mie akinigusa tu tayari anataka tufanye. Acha nizikose tu hizo faida maana ntaishia kufwanywa kila siku.
ntakufwaaaMpe tu, kwan inakodishwa kama Yanga sc?
We, hapana chezeiya.Hahahaaa! Kuna watu hawaguswi, ukimgusa tu unalo!
Hahahaaaa! Unashangaa tu unaguswa na kitu kigumu unajua tu pashaharibika hapa, bora ujilalie hukoo.We, hapana chezeiya.
Unyororo na ulaini laini wa t.a.k.o
Si unajua ndo maradhi yao hayo?
Ha ha haaaa,Hahahaaaa! Unashangaa tu unaguswa na kitu kigumu unajua tu pashaharibika hapa, bora ujilale hukoo.
Hahahaaa!! Ukilalamika utasikia oooh 'kwani mimi napenda!cant controll it' khaaah!!Ha ha haaaa,
Mara unaambiwa , naweka hapa jujuu tu nipate ujoto.
Lkn ndo hivo haina mabega mara ishazamishwa.
Hahahaaa!! Ukilalamika utasikia oooh 'kwani mimi napenda!cant controll it' khaaah!!
Job true true
Haha hahaha daah nimecheka. Eti naweka tu juu juuHa ha haaaa,
Mara unaambiwa , naweka hapa jujuu tu nipate ujoto.
Lkn ndo hivo haina mabega mara ishazamishwa.
Hahahaaaa! Unashangaa tu unaguswa na kitu kigumu unajua tu pashaharibika hapa, bora ujilale hukoo.
Labda kwa wenye ndoa zao rasmi washazoeana ila sisi wa uchochoroni utafwanywa hadi uombe poo!
Hahahaaaa! Hilo joto linakotafutwa sasa balaa tupu, ile kitu ilitakiwa iwe na mabega aisee!Haha hahaha daah nimecheka. Eti naweka tu juu juu