mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,350
- 2,340
Kuna mabwege nimebishana nayo hapa nayaelekeza yananibishia na kuniona mimi ninaongea nisichokijua.
Wakampigia fundi akasema ikiwaka taa ndio ipo On ikizima ndio ipo off. Nikasema duh....... Huu ni mtihani.
Huyo fundi atapoteza wengi, tena ukijaribu kumuelewesha ni wamoto balaa!