Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,892
- Thread starter
- #281
Nishawishi zaidiNipe nafasi nikuoneshe ulimwengu ulivyo. Hapa utapata pumziko la moyo na akili yako.
Nishawishi zaidiNipe nafasi nikuoneshe ulimwengu ulivyo. Hapa utapata pumziko la moyo na akili yako.
MimiNini Moyo wako Au mimi ndo nakuwa mzito
Eh wanaomba
Kabisa ila sikuwa nayo hela😂😂🤣ni hatareee.
😂😂😂Kwa mnyororo huo yakianzishwa mashindano ya wanawake wenye Gundu tuzo nakupa wewe
Sasa kwanini? Kitu unachotakiwa kujua Sometimes You block your own heart to receive Blessing and love kwa sababu bado unashika Maumivu ya Nyuma na unaogopa Kuhisi bado utapata maumivu yale yale..Mimi
So what are you suggest ??Sasa kwanini? Kitu unachotakiwa kujua Sometimes You block your own heart to receive Blessing and love kwa sababu bado unashika Maumivu ya Nyuma na unaogopa Kuhisi bado utapata maumivu yale yale..
But nachotaka kukwambia ni kuwa Unajinyima haki ya Kupendwa kwa kuzuia Moyo kupenda Tena!
Nishawishi zaidi
Fungua Moyo But be carefully lakini Ruhusu Moyo upende Ruhusu Upendo!So what are you suggest ??
@the bold ndio anamiliki jimbo?,hongera sana kuna wakati nilisoma nyuzi humu mlivyoanza mahusianoMimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Unapenda kupigwaeNapenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa
Mmmmh!sema wote mlikua wajuajiNinayemuongelea sio huyo mwaya.
Ehee ninapenda kupigwa na ile fimbo ya kwenye suruali🤸♀️🤸♀️🤸♀️Unapenda kupigwae
🤣🤣Crazy world!Eh wanaomba wafanyiwe shopping , na ilihali mie mwanamke na hitajika nifanyiwe shopping huoni hii ni mbaya
Ni kweli eh dudu yako ndio ilikuwa imepauka kisa kuvaa sana kinga🤣🤣🤣 jokes usiletee masiara na mimi nimepinda ila sasa tofauti yangu ya zamani na sasa na mshukuru Mungu na mambo mengi ya kuwaza nakushauri fungua uzi experience yako ilikuwajeWe binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?
Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
Wewe sio Mungu wangu na binadamu hawakosi cha kusemaNimesoma between lines, una elements za uanaharakati, usipo badilika, sahau kuwa na ndoa ya maana, zaidi ya kuchezewa. Pia mengi ya post yako ni chai
"Nilikutana nae 2014, tukapendana, nikazingua, nikaomba msamaha, anakisamehe, mwanaume bora kuliko wote"Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.