Mbunge wa kawe halima mdee amesema hana mpango wa kuolewa ila anampango wa kutafuta mwanaume wa kuzaaye mtoto kwani hiyo ndio zawadi pekee atakayoiachaduniani. Alipoulizwa anataka mwanaume wa namna gani alisema yule anayejiamini. Kasema yeye haangalii sura, elimu wala umbo. Mdee ambaye pia ni mwanasheria amesema watu wengine wana hofu wakiona mtu ni mbunge au ana masters. Mdee kasema milango haijafungwa hivyo wanaotaka kutuma application application wafanye hivyo. Source: clouds fm-leo tena. .a
Nadhani suala la kucheki afya ni muhimu sana kabla ya yote!
Aagh REv..kwahiyo ukute huyu dada ni mamluki...eti??
Suala la afya ni muhimu sana! Unafikiri kwanini Kikombe cha babu kimekuwa maarufu?
Kwahiyo mpaka atangaze redioni????Huko bungeni ameshindwa kumkamata mmoja!:israel:
Hii nimeipenda yaani inamaanisha hana kashfa za ngono, yeye muda wake mwingi anautumia kwenye kudai mabadiliko, kumbukeni huyu sio mwnamke nyege, na wanawake kama hawa huwa hawakojoi, maana hawajazaliwa kuja kuwa viburudisho vya wanaume. hapa nampa pande John Mnyika aumege huu mzigo watamatch vizuri sana.
wadau wengine punguzeni nyege yeye amewabip tu, huyu mwanamke hana kabisa kiherehere cha kukaa uchi.
Shem nilijua kwenye mambo haya hua vigum kukosekanaKwahiyo mpaka atangaze redioni????Huko bungeni ameshindwa kumkamata mmoja!:israel:
Anaogopa eti kule bungeni WAGONJWA wengi!!!
Nafikiri inabidi tupate tafsiri ya Mwanaume anaye jiamini ana sifa zipi na yukoje? Sidhani hao wote ambao amekuwa akishirikiana nao kimapenzi hawajafika viwango and they don't have confidante???. Mimi napata kitu fulani kwamba inawezekana nae ana kasoro..... sina ushaidi lakini through grape vine nimepata kusikia kwamba yeye ni Lesbian???? so if there is any one who can prove this should bring the evidence on this esteemed forum.
Jamani tumeumbwa tofauti lakini majority tunapenda kufuata mfumo wa kawaida wa kuoa na kuolewa. Pindi kunapo kuwa na tofauti lazima tuangalie kwa makini. Au ni anze kuamini kwamba all successful women hawaolewi? Ni mie shemiji wenu mtarajiwa!!!! mbioni kutoa posa!
Mimi nimefurahi sana nilipomsikia wakati anaongea redioni bahati mbaya nilikuwa kwenye gari vinginevyo mimi ningekuwa wa kwanza kupost hii habari jamvini.
Nimefurahi kwakuwa amerespond kwenye mada yangu ya jana niliyotaka kujua kama bado kuna haja ya kuoana lakini nikapata upinzani kwelikweli! sasa huyu mwanadada kaeleza vizuri maana ya ndoa na jinsi isivyo ya kukimbiliwa kama fasheni, amenifurahisha sana.
Bahati mbaya sijui namna ya kumpata vinginevyo ningemkaribisha jamvini kutoa elimu zaidi.
Yeye anataka mtoto ambaye atamlea peke yake (Single Parent) hajui kuwa wengine tunataka mtoto atakayelelewe na wazazi wote kwa ajili ya maadili na malezi bora. Single parent iwe pale panapolazimishwa na natural circumstances lakini siyo kujitakia. Mimi sipo tayari kuzaa tu mtoto na kumwacha kwa mama yake. Iga mfano wa Dr. Slaa fikiria kuolewa.
Unataka kusema watoto wanaolelewa na single parent hawana maadili?! mbona una mawazo ya kale mkuu?! hata kama mzazi mmoja ni mlevi anarudi nyumbani kajisaidia nguoni na huku anatukana matusi ya nguoni ili mradi bado yuko na mzazi mwenzie atwaadilisha watoto wake??