Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Na mimi I was about to connect. Sasa unaonaje ukimtafuta maana naona mna mawazo na mitizamo sawa. Maana akizaa na wengine hawakawii kumletea usumbufu. Na utakuwa umesaidia jamii maana hawa wadada "nataka kuzaa tu" ni mabingwa wa kuzaa na waume za watu na kuharibu ndoa za watu!
Umeona eeeh! hata hivyo sijajua unataka nifanyeje unaposema nitakuwa nimesaidia jamii kivipi yaani? na suala la kuzaa na waume za watu manake nini? au unamaanisha wanaume kama tools and then kuna watu wanawamiliki sio? Tafadhari nisaidie kumtafuta