gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
Hiyo nyekundu ni bull's crap.........Uhuru una mipaka, no one can do whatever they want.
ukiamua unaweza fanya lolote utakalo! So long as huvunji sheria za nchi! That's what i ment meeen
Hiyo nyekundu ni bull's crap.........Uhuru una mipaka, no one can do whatever they want.
i like ur avatar!Halima please, najua uko jf, please please please naomba uni PM, kwa ajili ya mazungumzo ya faragha, please Halima
Mbunge wa kawe halima mdee amesema hana mpango wa kuolewa ila anampango wa kutafuta mwanaume wa kuzaaye mtoto kwani hiyo ndio zawadi pekee atakayoiachaduniani. Alipoulizwa anataka mwanaume wa namna gani alisema yule anayejiamini. Kasema yeye haangalii sura, elimu wala umbo. Mdee ambaye pia ni mwanasheria amesema watu wengine wana hofu wakiona mtu ni mbunge au ana masters. Mdee kasema milango haijafungwa hivyo wanaotaka kutuma application application wafanye hivyo.
Source: clouds fm-leo tena
====================
Dina Marios(dm): TAMKO LA MHESHIMIWA HALIMA MDEE KUHUSU MAHUSIANO YAKE...
Mheshimiwa Halima James Mdee mbunge wa kawe amezaliwa Mwaka 1978 ana shahada mbili za sheria moja aliipatia katika chuo kikuu cha dare s salaam nay a pili katika chuo kikuuu cha cape town Afrika ya kusini.
Kitaaluma ni mwanasheria na wakili wa mahakama kuu kutokana na kazi za kisiasa taaluma yake ya kisheria anaitumia kwa muda mchache sana.
Mahusiano yake ya kifaragha....
Halima hajaolewa wala hana mchumba ila anatamani sana kupata mtoto na anapanga kupata mtoto hivi karibuni hata kama atakuwa bado hajaolewa.Anasema hajapata mtu ambae anasifa anazozitaka yeye ili kuishi nae mpaka uzeeni kama mume na mke yeye ndoa anaona ni jambo kubwa la commitment ya milele hivyo anahitaji mtu sahihi na si kukurupuka.'
'Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini ni wezi tu wanawake wana wanaume wengine nje ya ndoa na wanaume kadhalika wana wanawake wengine nje ya ndoa.Sasa kiapo mlichokila kwa shekhe au padre kina tija gani?kwa nini uwe katika ndoa iliyojaa uongo??''alisema.
Halima anahitaji mwanaume anaejiamini, mtu asimuone yeye ni mbunge na msomi akamuogopa mapenzi ni kitu cha ajabu sana hayachagui cheo, ukubwa wa umri wau muonekano kwa nini mwanaume atishwe na cheo chake? Mwanaume atakayempenda na kumkubali yeye na asitishwe na majukumu aliyonayo kiserikali huyo ni mtu sahihi kwake.
Ndoa inapangwa na mungu na kama mungu amempanga mume fulani kwa ajili yake atakuja.Na wakati wote ambao unasubiri unatakiwa uwe unaishi katika misingi ya kujiheshimu.Wanaume wamejaa sana ila sio kuokoteza kisa unatafuta mtu sahihi.
God bless you Halima, usikonde Mungu kakuandalia dume la nguvu ili mjenge familia bora, wanaume mnaojiamini mchumba huyo.
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana
Mbunge wa kawe halima mdee amesema hana mpango wa kuolewa ila anampango wa kutafuta mwanaume wa kuzaaye mtoto kwani hiyo ndio zawadi pekee atakayoiachaduniani. Alipoulizwa anataka mwanaume wa namna gani alisema yule anayejiamini. Kasema yeye haangalii sura, elimu wala umbo. Mdee ambaye pia ni mwanasheria amesema watu wengine wana hofu wakiona mtu ni mbunge au ana masters. Mdee kasema milango haijafungwa hivyo wanaotaka kutuma application application wafanye hivyo.
Source: clouds fm-leo tena
====================
Dina Marios(dm): TAMKO LA MHESHIMIWA HALIMA MDEE KUHUSU MAHUSIANO YAKE...
Mheshimiwa Halima James Mdee mbunge wa kawe amezaliwa Mwaka 1978 ana shahada mbili za sheria moja aliipatia katika chuo kikuu cha dare s salaam nay a pili katika chuo kikuuu cha cape town Afrika ya kusini.
Kitaaluma ni mwanasheria na wakili wa mahakama kuu kutokana na kazi za kisiasa taaluma yake ya kisheria anaitumia kwa muda mchache sana.
Mahusiano yake ya kifaragha....
Halima hajaolewa wala hana mchumba ila anatamani sana kupata mtoto na anapanga kupata mtoto hivi karibuni hata kama atakuwa bado hajaolewa.Anasema hajapata mtu ambae anasifa anazozitaka yeye ili kuishi nae mpaka uzeeni kama mume na mke yeye ndoa anaona ni jambo kubwa la commitment ya milele hivyo anahitaji mtu sahihi na si kukurupuka.'
'Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini ni wezi tu wanawake wana wanaume wengine nje ya ndoa na wanaume kadhalika wana wanawake wengine nje ya ndoa.Sasa kiapo mlichokila kwa shekhe au padre kina tija gani?kwa nini uwe katika ndoa iliyojaa uongo??''alisema.
Halima anahitaji mwanaume anaejiamini, mtu asimuone yeye ni mbunge na msomi akamuogopa mapenzi ni kitu cha ajabu sana hayachagui cheo, ukubwa wa umri wau muonekano kwa nini mwanaume atishwe na cheo chake? Mwanaume atakayempenda na kumkubali yeye na asitishwe na majukumu aliyonayo kiserikali huyo ni mtu sahihi kwake.
Ndoa inapangwa na mungu na kama mungu amempanga mume fulani kwa ajili yake atakuja.Na wakati wote ambao unasubiri unatakiwa uwe unaishi katika misingi ya kujiheshimu.Wanaume wamejaa sana ila sio kuokoteza kisa unatafuta mtu sahihi.
God bless you Halima, usikonde Mungu kakuandalia dume la nguvu ili mjenge familia bora, wanaume mnaojiamini mchumba huyo.
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana
Hizi sasa ni GOSSIPS NA POROJO HUMU JAMVINI, Guys why don't we come with ideal rather than these stories?
Weweeee hii picha ya Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh.S.......bi umeipata wapi?- Sikonge naomba uipeleke kule Lagangabilili p'se