Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #21
Kwa Point ya usalama hapa IKULU wanasababu ambazo kwa mtu yeyote rational atakubali kuwa ni risk sana kwa Ikulu kuzuungwa na majengo ya kibiashara yanayoizi urefu IKULU yenye, yaani mtu anaweza kuwa juu akaona what is taking placing on the ground of The State House.
kuna ubaya gani kuona kinachofanyika Ikulu? Majengo marefu hayazunguki ikulu yoyote duniani? Mtu anaweza kufanya nini kutoka kwenye jengo refu lililo karibu na Ikulu ambacho hawezi kukifanya mbali na Ikulu? Sioni kama kuna hoja ya usalama kwa kweli.
But Ili IKULU kuonesha kuwa hoja yao inanguvu walitakiwa ama kubomoa au kusimamisha majengo yote yaliyozidi ghorofa 6 katika perimeter ambayo wao wanaiona ni security zone. Vinginevyo watakuwa wanaruhusu Politics kuchukua mkondo wake na kwa kuwa hili halijafanyika basi inanilazimu kuamini hoja ya Mkjj kuwa wanaiogopa MNF.
Hakuna sababu ya kusimamisha majengo.. ambayo walishayapa kibali.. au walipotoa vibali na kumkubalia Nyerere walikuwa hawajui kuwa wako karibu na Ikulu au Ikulu imekumbuka kuwa ni Ikulu hivi majuzi?