vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
nna nokia E71 na nokia 6730 clasic... Zote nimezitumia ila zinaperform kama kawa... hazina utaata,. Labda hiyo 6730 ile plastic ya juu ya kioo ina crack pembeni ila kioo kipo safe n sound...... Ntieni hata curve8520 moja niwabwagie hizo kitu zote mbili pipoo