exchange mobile phones

vanmedy

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
2,698
1,395
nna nokia E71 na nokia 6730 clasic... Zote nimezitumia ila zinaperform kama kawa... hazina utaata,. Labda hiyo 6730 ile plastic ya juu ya kioo ina crack pembeni ila kioo kipo safe n sound...... Ntieni hata curve8520 moja niwabwagie hizo kitu zote mbili pipoo
 

Attachments

  • nokia-e71-03.jpg
    nokia-e71-03.jpg
    35.7 KB · Views: 61
  • nokia-6730-classic-03.jpg
    nokia-6730-classic-03.jpg
    21.8 KB · Views: 61
  • nokia-6730-classic-01.jpg
    nokia-6730-classic-01.jpg
    32.4 KB · Views: 60
nina nokia n73 3g symbian os s60 3rd edition,internal memory 42 mb,3d sound na mengi mengi au google uicheki,unanipa ngapi?
 
nina nokia n73 3g symbian os s60 3rd edition,internal memory 42 mb,3d sound na mengi mengi au google uicheki,unanipa ngapi?

Nliku''pm'' juzijuzi tu hapo.. Nkakwambia nkupe 80 elfu.. Then likaja suala la umbali kaka wewe uko mwnz mimi kwa sasa niko dar.. Issue ikawa kwenye makabidhiano..
 
ngosha... i suggested for the safety of ur phone na mimi for my money... Kama kuna mtu unaemuamini anakuja huku dar umpe simu na mawasiliano yangu ntakuachia.. akifika namtia mapene naye ananipa simu... Then done deal... Otherwise sijui itakuaje... Ila by next week ill be in singida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom