charz_starshine
Member
- Jan 6, 2017
- 23
- 19
Watu wanafastresheni zao halafu unadai salamu.
Mahusiano hayafanani, hakuna formula inayowafit wote.Comment yako imenifanya nitamani kujua gander yako.
Kwa kifupi tu, hilo jambo alipo Mkuu kwenye mahusiano ya sasa.....mwanamke au mwanaume yoyote atakayefanya hivyo, ni wazi anaendeshwa na hisia kuliko akili, hivyo kwa lugha nyepesi tu naweza sema HAFAI KUITWA MUME/MKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana na hii comment.. Umejua kuyatupa manenoArudi kufanyaje na yeye ni mke wa mtu tayari? Mwache apambanie kombe huyo, janamke lisilo na msimamo halifai hata kwa kulumangia. Ipo siku atakuacha tena ahamie kwa dume jingine kusambaza uzazi tu.
..
Hata wewe atakuacha km huyo jamaa!huyo ni nyoka shimoni ndo nyumbani kwake,lazima arudi.wacha kuwa huamin amini km kenge hadi uone damu kwenye maji ndo ujue raia wamekupiga.Nilikuwa na mpenz wangu Nikazaanae mtoto mmoja Tukashindwa kufunga ndoa Kikwanzo din tofauti , Akatoke mume Mwislam mwenzake wakafunga ndoa wakaish Mwaka mmoja kwenye ndoa, Amemuacha mumewe Anata tuludiane na Mimi Naombe maon
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mood tu
KABISA HUU UJINGA...YAANI NIJUE TU HUYU MWANAMKE ALIPITA KWA FULANI...HAPANA AISEE HATA TAMAA NAE SINA...LABDA ALIOLEWA KIRASMI KABISA AKAACHIKA AU AKAFIWA ALAFU NI MWEMA...ILA ALIKUWA ANAZINIWA TU...HAPANA NAMUONA MCHAFU SANAAAA...Kwanza kabla ya kutoa mawazo yangu natanguliza samahani kwa maneno yangu yanayofuata.
.
Ulimzalisha akaolewa na mtu mwingine yule mwanaume aliemuoa kwa kukuzidi kigezo cha dink ni tahira kuliko yule wa ubungo mwenye donda, aliowa galasa likamshinda HUYO MWANAMKE ASIKUDANGANYE YEYE NDIE KAMUACHA HUYO KAACHWA.
.
Na inapoelekea ule ujinga wa mwanzo wa yule jamaa unahamia kwako kashamtumia vya kutosha (effectively) anakuachia na wewe, pengine ni mimi tu mwenye udhaifu huu mkuu (MWANAMKE AKITUMIWA NA MWANAUME NINAEMFAHAMU SIWEZI MTAKA ABADANI) yani awe anatumika nashuhudia kwamba yule ni mwanamke wa mwafulani.