Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 638
- 2,875
Jina la saloon ni muhimu ili kuthibitisha haya madai yakoHii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Jina la saloon ni muhimu ili kuthibitisha haya madai yakoHii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Nitamfanyia, kila kitu! Ndio maana nikampiga marufuku.Mtufanyie nyie sasa vitu adimu kama hivyo, sio mnaishia kupiga marufuku tu kama serikali za mitaa.
Hii huduma ni bora sana, sema tu malaya wameivamia.Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Haha unakosea, mwamini tuJamaniiiiii! Ndio nimetoka kumpiga marufuku mtoto wa mama mkwe kukanyaga hizo salon!
Asijichanganye kabisa
Ha ha ha haaaa! Hongera sana B... kwa kufanya uamuzi huo, maana hayo ni majaribu. Kwani mtu akiongozana na mkewe bado huduma zitaendelea kutolewa kwa mfumo huo?Jamaniiiiii! Ndio nimetoka kumpiga marufuku mtoto wa mama mkwe kukanyaga hizo salon!
Asijichanganye kabisa
Lol! Kumbe tuko wengi tuliolazimika kuacha kwenda salon kwa huduma kama hizi? Mimi siendi tena kwa maslahi ya mahusiano yangu.Mimi nkishawekewa kichwa katikati ya matiti....halafu wanasehemu zao wakikushika wanachokonoa hisia....siku hizi nimeshaacha kwenda hizo saloon
Another one..
Haiwezi kuwa sawa na akienda mwenyewe, tena akiongozana na mkewe hivyo vidada vinanuna hatari.Ha ha ha haaaa! Hongera sana B... kwa kufanya uamuzi huo, maana hayo ni majaribu. Kwani mtu akiongozana na mkewe bado huduma zitaendelea kutolewa kwa mfumo huo?
Ova
Bila shaka wewe ni mwanamke tena mwenye wivu sana...Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Mwanamke ni mlinzi wa nyumba yake, atanyoa ila ataoshea home.Haha unakosea, mwamini tu
LohMwanamke ni mlinzi wa nyumba yake, atanyoa ila ataoshea home.
Tena nataka kujifunza kunyoa, nimnyoe mwenyewe kabisa! Lol
Mtoto mzuri ,huduma nzuri, saloon iko wapi?Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Wakitaja ni tagMtutajie location basi nasisi tukafaidi.
Kenya hiyoMtoto mzuri ,huduma nzuri, saloon iko wapi?
Aagh, nitaenda zile za sinza pale moriKenya hiyo