dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,917
- 57,615
tatizo la Sinza ni UTIAagh, nitaenda zile za sinza pale mori
Panda Tahmeed to Nairobi ukale vizuri
tatizo la Sinza ni UTIAagh, nitaenda zile za sinza pale mori
Hahahahatatizo la Sinza ni UTI
Panda Tahmeed to Nairobi ukale vizuri
Acha WIVU mkuu...Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
View attachment 2791749
Jamaa mkuda sana aisee...☹️😡🤬Mzee mbona unatoboa siri za kambi?
Tulia na mkeo mkuu.. Rasta ni utamaduni...Nataka nikanyoe rasta zangu hapo
Toa lokesheni mkuu
hapahapa jiji la mzizima..mkuuView attachment 2791844
Kiyonzo kaone bora amzibe macho atulie, mimi ningekuwa namkata mambata kazidi kugeukageuka...
Anyway hapa ni wapi nikapange foleni...
Kwa nini jamaa hakutumia tu kioo mbele yake? Lakini, hicho ni kufanyiwa fujo wakati wa kunyoa, salon hiyo siendi!Another one..
MkuuTulia na mkeo mkuu.. Rasta ni utamaduni...
wanaume tumeumbiwa mateso!Another one..
Hatari sanaWanaume wa Dar
Location ni Dar-kinondoniJina la saloon ni muhimu ili kuthibitisha haya madai yako
Na hao walivyo na tabia mbaya ukisimama wakaona mnara umesoma wanakwambia wanaweza kuu-service na huo pia, nasikia wananyoa hadi vuzi
Hahah unampiga Banzi moja heavy . HahaRusha kofi nkupige kata funua moja ya moto ukatafte meno kwa tochi.
Kama ni ngori, ukwende ujifunze kufanya hizi mavitu uwe unanifanyia maskani.
Though on a serious note, ukikwenda mwenyewe ukakubali kufanyiwa hivi ni kujitaftia mapepo tu.
Taja jina la saluni tukawaungishe, na wao wapate ridhiki.Location ni Dar-kinondoni