FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,378
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??
"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe
wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake
JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??
"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe
wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake
JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA