Eti wanaume sio wenzetu??na je wanawake si wenzenu!

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,375
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??

"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe

wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake

JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA
 
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??
"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe

wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake

JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA




Nakubaliana na huyo baba na kurudi kule kule kua Men are from Mars and women from Venus....
 
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??

"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe

wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake

JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA
Ha ha haa!

Haya maongezi kwa asilimia 90 yanaonekana yalikuwa ni ya watu wasio na huruma au kumjua Mungu!
Japo mi ni mwanaume siwezi kuyashusha thamani mahusiano yangu na mke wangu kwa kiasi hicho!
Watu mnapoingia katika mahusiano ya ndoa maana yake ni kuanzisha familia mpya na umoja mpya ambao baadhi tunaamini hautavunjwa na hali yoyote, isipokuwa kifo!
Sasa kama mwanamke anaambiwa atumie akili zake, kwangu mimi natafsiri kwamba atumie akili kuhakikisha kuwa analinda nyumba yake na kuifanya isisambaratike daima kwa kuongeza upendo hata katika hali inayokatisha tamaa!
Pia maana ya mwanaume si ubabe na ukatili ndani ya mahusiano...ni akili na kuipenda familia yako!
 
kaa kwa akili...usiolewe ukabweteka kuwa umefika...kuwa tayari kwa maamuzi magumu wakati wowote....huolewi na malaika bali mwanadamu mliyekutana kila mtu akiwa na maisha yake na ambaye hata mkiachana maisha lazima yaendelee.....
 
Mimi binafsi nakubaliana na huyo baba kwa asilimia mia ni wachache sana wenye hofu ya mungu kwa dunia ya leo ,kila mtu amegeuka mmnyama ,pia nadhani nguvu za giza zimeingia kwa kasi sana kwenye mahusiano ,mungu atuhurumie sana ,mwenyewe ni muathirika wa sakata hili,hivyo sishangai sana
 
kaa kwa akili...usiolewe ukabweteka kuwa umefika...kuwa tayari kwa maamuzi magumu wakati wowote....huolewi na malaika bali mwanadamu mliyekutana kila mtu akiwa na maisha yake na ambaye hata mkiachana maisha lazima yaendelee.....

cku hizi mambo mengi kwenye ndoa yamebadilika kutokana na ndoa zenyewe za cku hizi zilivyo, mambo yamekuwa vululu vululu sana...kwa kweli mie najihami na nitaendelea kujihami hata nicpoona kasoro.
 
cku hizi mambo mengi kwenye ndoa yamebadilika kutokana na ndoa zenyewe za cku hizi zilivyo, mambo yamekuwa vululu vululu sana...kwa kweli mie najihami na nitaendelea kujihami hata nicpoona kasoro.

watu hawataki kuwa wavumilivu...mwanamke tu kajifungua,mtu anachukua house girl.....mama ana mapungufu,badala mtu amsaidie kubadilika,amvumilie,ashirikishe wazee na kumuombea....anaona house girl hapo ana lala nae....watu wana simplify maisha kupita kiasi...kwa mtindo huo yabidi kukaa kwa akili,kama elimu huna na kuna nafasi ya kusoma,kufungua biashara fanya hivyo.....nyumba kama unaweza jenga kwa akili.....kikinuka,ondoka si mpaka uje uwekewe sumu na mke mwenzio house girl hapo ndani ukijidai kutaka heshima na mwanamke uvumilivu.....au unasemaje Nyamayao?
 
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo
Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk mahusiano g/F na b/F ilianzishwa topic ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ,kila mmoja akitoa lawama upande wa mwenzie kama wanawake siku hizi hawashikiki na hawaheshimu ndoa zao,wanawake nao wakatoa lawama nyingi kwa wanaume kuwa wamekuwa wanyama na wanafanya maamuzi ya kikatili sana pasipo kuwa na hekima ,
Ndipo baba mmoja anayeonekana wa makamo kidogo akatoa neno lililowaacha watu midomo wazi ,huku likiungwa mkono na wanaume wengine .Eti na nyie wanawake mkoje mnawaamini hao wanaume kwani ndugu zenu ,mmezaliwa nao tumbo moja ?Tumieni akili zenu za ziada sio kulia ooh nimeachwa bila kitu tumejenga nyumba pamoja ,tumefungua miradi pamoja siku hizi akili kichwani sio kulia lia ovyo..kwani nyie kulwa na dotto ??

"tukamuuliza kwa hiyo unataka tufanyeje ?
tukajibiwa na wanaume aaah akili zenu sasa sio kila kitu mtafuniwe

wapenzi hebu tudadavue swala hili kwa ujumla ..haijalishi umewowa ama umeolewa mradi tu wote tunatarajia kuingia huko maana kila mmoja anavutia upande wake

JAMANI KWA HALI HII TUTAFIKA?VIZAZI VYETU TUTAVIFUNDISHA NINI JUU YA NDOA NA MAHUSIANO KWA UJUMLA

FL1,

Huyo babu kichwani pametulia. Hayo maneno yake ni mazito sana. Labda alichokosea ni kuwataka wanawake tu watumie akili zao. Mimi naamini wote tunatakiwa kutumia akili sana katika ndoa za siku hizi...Hakuna tena mambo ya kutafuniwa. Hata hivyo ni muhimu kuchanganya akili, busara na hekima. Ukivipata hivyo hata kwa level ya C ya kuchechemea (just above 50%) basi ndoa itandunda kama haina akili!


Hapo (red) ulimaanisha nini? Au una utani na majirani zako?

Mzee DC
 
Ha ha haa!

Haya maongezi kwa asilimia 90 yanaonekana yalikuwa ni ya watu wasio na huruma au kumjua Mungu!
Japo mi ni mwanaume siwezi kuyashusha thamani mahusiano yangu na mke wangu kwa kiasi hicho!
Watu mnapoingia katika mahusiano ya ndoa maana yake ni kuanzisha familia mpya na umoja mpya ambao baadhi tunaamini hautavunjwa na hali yoyote, isipokuwa kifo!
Sasa kama mwanamke anaambiwa atumie akili zake, kwangu mimi natafsiri kwamba atumie akili kuhakikisha kuwa analinda nyumba yake na kuifanya isisambaratike daima kwa kuongeza upendo hata katika hali inayokatisha tamaa!
Pia maana ya mwanaume si ubabe na ukatili ndani ya mahusiano...ni akili na kuipenda familia yako!

Mkuu naomba kutofautiana na wewe. Mimi naona Great thinking kwenye hayo maongezi!!

Mzee DC.
 
ndoa za cku hizi ni za kuoteana sana, atakaemuotea mwenzie twende, kuaminiana/kushirikianao kwa uaminifu kumepotea kabisa, ndoa za cku hizi unatakiwa uwe na akili za ziada kabisa.


Nyamayao naona siku hadi siku mambo yanaenda yakibadilika sana,heshima imepotea katika ndoa ni kweli akili ya ziada inahitajika sana na nguvu za mungu zituongoze
 
Ha ha haa!

Haya maongezi kwa asilimia 90 yanaonekana yalikuwa ni ya watu wasio na huruma au kumjua Mungu!
Japo mi ni mwanaume siwezi kuyashusha thamani mahusiano yangu na mke wangu kwa kiasi hicho!
Watu mnapoingia katika mahusiano ya ndoa maana yake ni kuanzisha familia mpya na umoja mpya ambao baadhi tunaamini hautavunjwa na hali yoyote, isipokuwa kifo!
Sasa kama mwanamke anaambiwa atumie akili zake, kwangu mimi natafsiri kwamba atumie akili kuhakikisha kuwa analinda nyumba yake na kuifanya isisambaratike daima kwa kuongeza upendo hata katika hali inayokatisha tamaa!
Pia maana ya mwanaume si ubabe na ukatili ndani ya mahusiano...ni akili na kuipenda familia yako!

PJ wewe ni mmoja kati ya wale wachache wenye akili kama yako,kuna mmoja nafanya nae kazi ana tabia ya kurudi home asubuhi kuoga na kubadilisha nguo ,akiulizwa anasema mke mke nini kwani hali akashiba ,havai,watoto hawaendi shule ...ndio matatizo kama hayo
 
Nakubaliana na huyo baba na kurudi kule kule kua Men are from Mars and women from Venus....

hahaha Asha D kwa nini unakubaliana na huyo baba? mie sikutegemea maneno mazito kama hayo toka kwake ,kwanza yuko very aged na kidoleni alikuwa na pete yake ya ndoa ikionyesha kabisa ni baba wa family amekata tamaa mpaka kusema hayo?
 
Nyamayao naona siku hadi siku mambo yanaenda yakibadilika sana,heshima imepotea katika ndoa ni kweli akili ya ziada inahitajika sana na nguvu za mungu zituongoze

FL1,

Ni kweli mambo yanabadilika ila watu wanataka kubaki kama walivyo na kutegemea kuwa kila kitu kitakuwa poa. Huo ni upuuzi na ni mtazamo potofu. Kama mambo yanabadilika basi na sisi inatubidi tubadilike.

Zamani ndoa zililindwa sana na mila zetu...Kuachika lilikuwa neno gumu sana kulisikia. Ila sasa hivi kuachana ni kitu cha kawaida sana kama kwenda dukani kufanya shopping. Kwa nini tusijiandae kwa vitu kama hivyo?

Mimi binafsi naamini my wife ni independent body (kama sovereign state vile) na sisi siyo cojoined twins. Kwa hiyo kama mambo hayaendi sawa lazima tutumie akili zetu na busara kujaribu kuyaweka sawa. Ikishindikina tunaanza maisha mapya without each other. Naamini hatujakosea kuwa katika alert 24/7!

Mzee DC
 
hahaha Asha D kwa nini unakubaliana na huyo baba? mie sikutegemea maneno mazito kama hayo toka kwake ,kwanza yuko very aged na kidoleni alikuwa na pete yake ya ndoa ikionyesha kabisa ni baba wa family amekata tamaa mpaka kusema hayo?

FL1,

Binafsi sioni ubaya wa hayo maneno na naamini hayana chembe ya usanii. Ila ukiyachukulia juu juu itakuwa ngumu kumuelewa.

Hata mimi nakubaliana naye kwa zaidi ya 50%. Ningempa 100% kama angeangalia pande zote 2 za shilingi!
 
FL1,

Huyo babu kichwani pametulia. Hayo maneno yake ni mazito sana. Labda alichokosea ni kuwataka wanawake tu watumie akili zao. Mimi naamini wote tunatakiwa kutumia akili sana katika ndoa za siku hizi...Hakuna tena mambo ya kutafuniwa. Hata hivyo ni muhimu kuchanganya akili, busara na hekima. Ukivipata hivyo hata kwa level ya C ya kuchechemea (just above 50%) basi ndoa itandunda kama haina akili!




Hapo (red) ulimaanisha nini? Au una utani na majirani zako?

Mzee DC
hahaha thanx DC hapo kwenye red nilimaanisha hata wale ambao hawajaoa watoe michango yao kwani iko siku wataingia huko
 
kaa kwa akili...usiolewe ukabweteka kuwa umefika...kuwa tayari kwa maamuzi magumu wakati wowote....huolewi na malaika bali mwanadamu mliyekutana kila mtu akiwa na maisha yake na ambaye hata mkiachana maisha lazima yaendelee.....

Michelle nakubaliana na wewe kabisa inabidi kuwa tayari kwa kila jamboa ingawa mungu hapendi watu kuachana ,
 
Back
Top Bottom