Nilikuwa namsikiliza dada fulani anaitwa Ester Bulaya katibu wa uhamasishaji uvccm na mbunge radio tbc. alipoulizwa mbona uvccm wame lose ground akasema hapana tumeshika vyuo vyote hata juzi mgombea wetu ameshinda federation udom amemshinda mgombea wa chadema. nikajiuliza kumbe uongozi wa vyuo ni wa tiketi ya chama? kazi ipo