Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Kuna rafiki yangu ameniambia kuwa anapata tabu ya kutafuta loose ball kwa kuwa mkewe hataki kucheza mechi kwa kuwa mtoto wao anaumwa malaria..., nikashangaa nikamuuliza kwani mtoto akiumwa kuna tatizo gani, eti anasema mkewe amemwambia mila na desturi za kwao haziruhusu kupeana majambozi katika kipindi cha huzuni kama vile, kifo, ugonjwa, mtoto anaweza ku-died.