22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
Jana rafiki yangu ame break up na boyfriend wake. baada ya kuuliza kisa ameniambia kwamba huyo bwana anavuja jasho kama mvua.
Wakifanya mapenzi ni kama yupo nje ananyeshewa na mvua kwa jinsi huyo mwanaume anavyovuja jasho, mashuka yote yanalowana, inamkera sana especially wakiwa kwenye kifo cha mende. yale majasho yote yana mmwagikia yeye, sasa si unajua jinsi yalivyo na chumvi?
Tatizo sio jasho la kwapa ambalo utatumia deodorant, anatoka jasho mwili mzima(kuanzia kichwani mpaka miguuni)
na sasahivi wapo kwenye nchi ya baridi, inakuwaje wakirudi bongo? kwenye joto.
nimecheka mpaka basi.
sijawahi kukutana na mtu wa hivi, je humu jf wapo? tatizo ni nini?ugonjwa? au
Wakifanya mapenzi ni kama yupo nje ananyeshewa na mvua kwa jinsi huyo mwanaume anavyovuja jasho, mashuka yote yanalowana, inamkera sana especially wakiwa kwenye kifo cha mende. yale majasho yote yana mmwagikia yeye, sasa si unajua jinsi yalivyo na chumvi?
Tatizo sio jasho la kwapa ambalo utatumia deodorant, anatoka jasho mwili mzima(kuanzia kichwani mpaka miguuni)
na sasahivi wapo kwenye nchi ya baridi, inakuwaje wakirudi bongo? kwenye joto.
nimecheka mpaka basi.
sijawahi kukutana na mtu wa hivi, je humu jf wapo? tatizo ni nini?ugonjwa? au