Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,379
- Thread starter
- #21
Nisipokiapa itakua kwa sababu nyingine sio hiyo! Kiapo ntakiweza kama mwenzangu ataniwezesha!Ndoa sio ya mmoja kwahiyo inabidi anisaidie mimi kumsaidia yeye!
Orayt
Tuchukulie kesi kama hii....
Mmeo kakuwezesha, amekusaidia, hajawahi kukuboa...yaani yote njema.
lakini ghafla lahaula...kapata mzinga yuko kitandani. Baioloji haitaamka mpaka anaingia kaburini. Na wewe una kiu yako. Utavumilia mpaka mwisho au uchakachuzi utafanyika japo kwa siri?