Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
- Thread starter
- #41
Mkuu nimekuelewa sana tu, kamata sheria ya ndoa ya mwaka 1971, angalia factors zinazoonyesha kuvunjika kwa ndoa mojakwamoja(IRRIPARABLE BREAK DOWN OF THE MARRIAGE) ambapo talaka inaweza kutolewa, ni pamoja na mwanandoa kushindwa kutoa haki ya ndoa(INABILITY TO CONSUMATE) sasa ndio maana nikasema kuwa haya mambo ni ya ubinandamu, tuwe wakweli Babu, kama tendo la ndoa lisingekuwepo je tungekuwa tunafunga ndoa kweli?................. kisheria huyu mama angeweza kuomba talaka na kupewa japo mchakato wake ni mrefu, lakini kiubinadamu pia haileti maana kufurahia ndoa wakati wa neema tu, kiukweli amekosea huyu mama na Bwana X,...................., ila suala la uvumilivu ni matter of fact kama umezoea kuipata haki yako kila siku inapotokea jambo la kukunyima inakuwa balaa
Mkuu Sheria ya ndoa si ni hizi zimetungwa na binadamu?
Mi nazungumzia maandiko kwenye Bible. Yale yanayosema hata kumtamani tu mke wa mtu tayari umeshazini naye.
Tena imeandikwa...MKE HAACHWI ILA KWA ZINAA!...yaani kinachoweza kukufanya umtaliki mkeo ni zinaa...si magonjwa!