Kama wanaomsafisha Lowasa wamefika mbali hivyo kwa kumfananisha na Zuma wamevuka mpaka tutegemee siku wajekutuambia ni nyerere wa pili
tatizo la wengi mnao msema vibaya Lowassa ni chuki na kusikiliza majungu na fitina za mitaani,watu wote tumezaliwa na mapungufu,hakuna malaika mkuu!