kanta
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 343
- 65
Wana jamvi leo nilikuwa nasikiliza mapitio ya magazeti, kuna gazeti moja limeandika eti Lowasa ni kama Zuma kwa maana kwamba ata bounce back na kuukwaa uraisi by 2015 kiulaani kama zuma alivyofanya South Africa.
Kwa mtazamo wangu, hili ni picha linaloendelea kwa ajili ya kumsafisha Lowasa ingawa kwa wenye akili zetu timamu hatuwezi kushawishika, tofauti kubwa ya hao wawili ni kwamba, Zuma alisafishwa na Mahakama wakati huyu jamaa anapita kwenye makanisa na magazeti kujisafisha kinyemela.
Kashfa yake ni kubwa sana, haiwezekani akatufanya sisi ni watoto katika hili na hayo magazeti yake yanayoitwa sijui JAMBA LEO.
Kwa mtazamo wangu, hili ni picha linaloendelea kwa ajili ya kumsafisha Lowasa ingawa kwa wenye akili zetu timamu hatuwezi kushawishika, tofauti kubwa ya hao wawili ni kwamba, Zuma alisafishwa na Mahakama wakati huyu jamaa anapita kwenye makanisa na magazeti kujisafisha kinyemela.
Kashfa yake ni kubwa sana, haiwezekani akatufanya sisi ni watoto katika hili na hayo magazeti yake yanayoitwa sijui JAMBA LEO.