mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
anayemsafisha Lowasa ningekuwa karibu naye ningemumwagia glass ya komoni iliyohoza naye achafuke , wote wanuke, yaani unajaza pumba humu na kutukana watu, hata kama gamba kuu limeishiwa nguvu za kuwashitaki small magamba lakini si wakati wa kunyamazia huu upuuzi.