Hakuna hii kitu mie huku sijaona hata kidogo huku kila kitu umeme hakuna mgao wa umeme huku mie nina miaka zaidi 20 sijawahi kuona au kusikia kuna mgao wa umeme au mgao wa maji hakuna hii kitu Mkuu hio kitu pasi ya mkaa huko huko kwenu East Africa. Mkuu gfsonwin
huko kwenye visiwa vya trinidad and Tobaco sio Ulaya ni South Amerika Amerika ya kusini. Huku ulaya hata Vijini hawatumii hiyo pasi ya mkaa imeshapitwa na wakati huku hakuna kitu kama hicho mkuu gfsonwinbasi kwenye visiwa vya trinidad bado ipo n ainatumika mkuu.
hatumii Pasi kama hiyo Bwana usiseme maneno ya uongo huku kuni zinatumika kufanya nyumba iwe na joto wakati wa baridi kuni hazitumiki kupikia chakula hakuna huku kila kitu umeme na Gesi pasi hizo zipo Afrika sio Ulaya bwana Mkuu KIKUNGU pasi ya umeme huku ni dola 20 sawa sawa na pesa ya machungwa TZ shs Elfu 35 Tanzania shilingi .Mkuu MziziMkavu kukaa miaka 20 sio hoja,unaweza kukaa Tanzania the whole of your life time lakini usifike sehemu nyingine za Tanzania,jaribu kutembelea countryside za UK na Wales hizi pasi nimeziona kwa macho yangu na wanatumia mkaa wa magogo wanayotumia ku-heat nyumba mostly kwenye countryside.gfsonwin,you are right mkuu,zipo hizi pasi.
hatumii Pasi kama hiyo Bwana usiseme maneno ya uongo huku kuni zinatumika kufanya nyumba iwe na joto wakati wa baridi kuni hazitumiki kupikia chakula hakuna huku kila kitu umeme na Gesi pasi hizo zipo Afrika sio Ulaya bwana Mkuu KIKUNGU pasi ya umeme huku ni dola 20 sawa sawa na pesa ya machungwa TZ shs Elfu 35 Tanzania shilingi .
wewe unaeleza kwenye machimbo ya Makaa mimi ninasema mjini hazitumiki sijaona mjini kutumika pasi ya mkaa wa moto hiyo kitu hakuna kabisa mjini sahau kabisa you forget it Mkuu.@KIKUNGUMkuu MziziMkavu,umekuwa harsh sana kwangu,niseme uongo ili iweje,sijasema kuni kwa ajili ya kupikia,bei ya pasi ya umeme is irrelavant hapa kwa sababu sio kama hawana uwezo wa kununua, la hasha.Am still insisting kwamba nimeziona kwa macho yangu,nenda countryside LAKE DISTRICT,nenda Wales kulikokuwa na machimbo ya makaa ya mawe.Just take your time kutembelea countryside kama hukukuta hata landrover 109 shortchasis zipo
Reliable anytime,less costy,less risks of causing electric shocks when forgoten to be switched off,African by nature,
Hakuna hii kitu mie huku sijaona hata kidogo huku kila kitu umeme hakuna mgao wa umeme huku mie nina miaka zaidi 20 sijawahi kuona au kusikia kuna mgao wa umeme au mgao wa maji hakuna hii kitu Mkuu hio kitu pasi ya mkaa huko huko kwenu East Africa. Mkuu gfsonwin
Huku Ulaya hakuna kitu kinachoitwa Mgao wa Umeme mambo ya Mgao wa Umeme ni Tanzania ninafikiri hata Nchi jirani ya Kenya hakuna kitu hicho cha mgao wa umeme ni aibu kubwa nchi yetu kubwa kukosa Umeme na Maji Safi KaitampunuMsiidharau wakati wa mgao wa umeme ndo mtaambua umuhimu wake.
MODEL: GKSI-8 STEAM PRESS Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz Power: 1200W Gross weight: 10.5kg Net weight: 8.5kg Package size: 61.5×21.5×56.5cm Flat board size: 55×20cm Quantity: 355 PCS (CONTAINER 20ft) |
MODEL: GKSI-10 STEAM PRESS Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz Power: 1200W Gross weight: 17.5kg Net weight: 13.5kg Package size: 71×28×65cm Flat board size: 65×24cm Quantity: 230 PCS (CONTAINER 20ft) |
MODEL: GKSI-16 STEAM PRESS Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz Power: 1600W Gross weight: 20kg Net weight: 16kg Package size: 87×28×68.5cm Flat board size: 80×31cm Quantity: 174 PCS (CONTAINER 20ft) |
GKSI-TQ10 Bench Steam Electric lron Machine
<tbody> </tbody> |
GKSI-T16 Bench Dry-iron Electric lron Machine
<tbody> </tbody>
<tbody> </tbody> |
| GKSI-TQ16 Bench Steam Electric lron Machine
<tbody> </tbody>
<tbody> </tbody> Our companies have developed successful bottom exhaust steam electric iron machines appreciated by foreign buyers, the new type electric flat iron equipped with fans, the moisture will rain while iron clothing, clothing iron fast,fair, and dry, excellent results. |