Eti bado inatumika, Bongo bana, khaaaa

wewe unaeleza kwenye machimbo ya Makaa mimi ninasema mjini hazitumiki sijaona mjini kutumika pasi ya mkaa wa moto hiyo kitu hakuna kabisa mjini sahau kabisa you forget it Mkuu.@KIKUNGU

mhh wa temeke mwsho tunawasikiliza madayaspora!!!!!!!!!!!!
 
100_3004.JPG
Hii kitu ninakumbuka mimi niliwahi kutumia hapo nyumbani Tanzania mara ya mwisho mwaka 1976 namaliza shule umenikumbusha mbali hahahahahah...................... Mbuzi Mzee
 
Last edited by a moderator:
Chini ya asilimia 20 ya watanzania ndio wanaotumia umeme. Wewe unaishi wapi mkuu mbona post yako ni kituko zaidi ya hoja uliyoitoa
naku support kwa asilimia 100 mkuu,matumizi ya
umeme ni kwa familia bora tu,pasi ya mkaa ndio mpango mzima.
 
Huku Ulaya hakuna kitu kinachoitwa Mgao wa Umeme mambo ya Mgao wa Umeme ni Tanzania ninafikiri hata Nchi jirani ya Kenya hakuna kitu hicho cha mgao wa umeme ni aibu kubwa nchi yetu kubwa kukosa Umeme na Maji Safi Kaitampunu


Steam Electric lron Machine

steam_iron.jpg

MODEL: GKSI-8 STEAM PRESS
Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz
Power: 1200W
Gross weight: 10.5kg
Net weight: 8.5kg
Package size: 61.5×21.5×56.5cm
Flat board size: 55×20cm
Quantity: 355 PCS (CONTAINER 20ft)


<TBODY>
</TBODY>



steam_iron_machine.jpg

MODEL: GKSI-10 STEAM PRESS
Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz
Power: 1200W
Gross weight: 17.5kg
Net weight: 13.5kg
Package size: 71×28×65cm
Flat board size: 65×24cm
Quantity: 230 PCS (CONTAINER 20ft)


<TBODY>
</TBODY>



steam_press.jpg

MODEL: GKSI-16 STEAM PRESS
Power Source: 220V~/50Hz 110V~/60Hz
Power: 1600W
Gross weight: 20kg
Net weight: 16kg
Package size: 87×28×68.5cm
Flat board size: 80×31cm
Quantity: 174 PCS (CONTAINER 20ft)


<TBODY>
</TBODY>

steam%20iron%20machine.jpg


GKSI-TQ10 Bench Steam Electric lron Machine
Technical parameter:
Reted voltage:220V
Reted frequency:50Hz
Reted power:1200W


<TBODY>
</TBODY>

<TBODY>
</TBODY>

electric_flat_iron.jpg


GKSI-T16 Bench Dry-iron Electric lron Machine
Characteristic:
The area of the iron plate is ten larger than normal iron head.
Save over half of the time of ironing clothes.
Setting auto-unattended safety file for safety operation.
Ironing knitting wool,down,silk dress material doesn't cause smooth face,and the ironed clothes are like the new.


<TBODY>
</TBODY>

Technical parameter:
Reted voltage:220V
Reted frequency:50Hz
Reted power:1600W


<TBODY>
</TBODY>

<TBODY>
</TBODY>





gingerking_iron_machine.jpg


steam%20press.jpg




GKSI-TQ16 Bench Steam Electric lron Machine

Characteristic:
The area of the iron plate is ten larger than normal iron head.
Save over half of the time of ironing clothes.
Heavy steam makes die-hard wrinkle disappear at once
Setting auto-unattended safety file for safety operation.
Ironing knitting wool,down,silk dress material doesn't cause smooth face,and the ironed clothes are like the new.


<TBODY>
</TBODY>
Technical parameter:
Reted voltage:220V
Reted frequency:50Hz
Reted power:1600W


<TBODY>
</TBODY>



Our companies have developed successful bottom exhaust steam electric iron machines appreciated by foreign buyers, the new type electric flat iron
equipped with fans, the moisture will rain
while iron clothing, clothing iron fast,fair,
and dry, excellent results.







<TBODY>
</TBODY>
Ni kweli Ndugu MziziMkavu maana hapa tunavyoishi ni kwa majaliwa tu! Husingaike kurudi we jijenge huko huko ikibidi na uraia chukua wewe na kizazi chako chote.
 
Ni kweli Ndugu MziziMkavu maana hapa tunavyoishi ni kwa majaliwa tu! Husingaike kurudi we jijenge huko huko ikibidi na uraia chukua wewe na kizazi chako chote.
Ni ukweli usemavyo lakini mimi ulaya sikupendi

kwasababu ya Baridi kali sana wakati wa baridi huwa ulaya ninakuchukia sana wakati wa baridi kila kitu bei ghali barafu kila sehemu huwezi kwenda na miguu umbali mrefu shida tupu hakuna hata raha kwa wakati wa baridi asikwambie mtu

nyumbani kwetu ni kuzuri kuliko ulaya. Huku ulaya ni kwa ajili ya kutafuta pesa ukipata Pesa bora urudi nyumbani. Waarabu

Wamesema ''Nyumbani ni Nyumbani Hata Kama Kukiwa ni Juu ya Mlima ni Nyumbani''. Nyumbani mimi nina kupenda ila huko

kwetu Hakuna Maendeleo hatuna Viongozi wazuri wanaoipenda nchi yao na walala hoi Watu Masikini lakini nchi yetu ikipata Viongozi Wazuri kwanini nisurudi nyumbani?Mkuu Kaitampunu
 
maisha mkuu,hata mimi ninayo,maisha tu.Sioni kama ni ajabu.Nikuulize"wenye magari wote matajiri? Vitu vingne ni hobby au maswala ya uchumi.Sijafurahishwa na post yako.
 
Ni ukweli usemavyo lakini mimi ulaya sikupendi

kwasababu ya Baridi kali sana wakati wa baridi huwa ulaya ninakuchukia sana wakati wa baridi kila kitu bei ghali barafu kila sehemu huwezi kwenda na miguu umbali mrefu shida tupu hakuna hata raha kwa wakati wa baridi asikwambie mtu

nyumbani kwetu ni kuzuri kuliko ulaya. Huku ulaya ni kwa ajili ya kutafuta pesa ukipata Pesa bora urudi nyumbani. Waarabu

Wamesema ''Nyumbani ni Nyumbani Hata Kama Kukiwa ni Juu ya Mlima ni Nyumbani''. Nyumbani mimi nina kupenda ila huko

kwetu Hakuna Maendeleo hatuna Viongozi wazuri wanaoipenda nchi yao na walala hoi Watu Masikini lakini nchi yetu ikipata Viongozi Wazuri kwanini nisurudi nyumbani?Mkuu Kaitampunu
Ok wewe karibu nyumbani ila jiandae kuishia Dar peke yake kijijini husisubutu.
 
huko kwenye visiwa vya trinidad and Tobaco sio Ulaya ni South Amerika Amerika ya kusini. Huku ulaya hata Vijini hawatumii hiyo pasi ya mkaa imeshapitwa na wakati huku hakuna kitu kama hicho mkuu gfsonwin
Mkuu nimeongea na Dobi wa mtaani kaniambia pasi hiyo ndiyo bomba kwa kunyooshea suti.he he he,eti inasimama kama uniform ya FFU
 
Last edited by a moderator:
maisha mkuu,hata mimi ninayo,maisha tu.Sioni kama ni ajabu.Nikuulize"wenye magari wote matajiri? Vitu vingne ni hobby au maswala ya uchumi.Sijafurahishwa na post yako.
Mkuu kuwa na gari si maisha mimi

mbona huku sina gari lakini ninaishi maisha ya kawaida tu huku hakuna shida ya usafiri kuna mabasi ya speed Metro bus,kuna

Treni zinazozunguka mjini kazi yake kuchukuwa watu kuwapeleka mijini Train bus kuna mabasi ya watu binafsi Private bus

kuna mabasi ya serikali,kuna madaladala hakuna shida ya usafiri wala umeme wala shida ya maji kukatika. Hayo ndio maisha

Mwanadamu anayotakiwa kuishi sio nyumbnai kwetu huko bongo Maji shida umeme wa mgao,Usafiri shida kila kitu shida sasa

hao wanaotawala wanawatawala Wanyama sio binadamu? Hata huyo mnyama usipomuangalia vizuri anakufa haraka Mkuu jaribu

kuzungumza point usizungumze maneno ya Pumba. Binadamu anatakiwa vitu vya lazima ili aweze kuishi kibinadamu sio

Binadamu aishi kama mnyama mkuu Triple G Samahani kama nitakukwaza.

Ok wewe karibu nyumbani ila jiandae kuishia Dar peke yake kijijini husisubutu.
sawa Mkuu lakini mimi sipapendi Dar kuna mkusanyiko wa Watu wengi halafu hakuna Raha yoyote ile Dar Wezi wengi majambazi wa kumwaga usiku huwezi hata kutembea wasiwasi mtupu mpaka uwe na Bodyguard Dar hainifai hata kidogo mji ninaoupenda ni mji wa Arusha au Tanga Au Zanzibar au kama nikae Dar basi nikae nje ya Dar kibaha wewe unasemaje? mkuu Kaitampunu
 
Mkuu kuwa na gari si maisha mimi

mbona huku sina gari lakini ninaishi maisha ya kawaida tu huku hakuna shida ya usafiri kuna mabasi ya speed Metro bus,kuna

Treni zinazozunguka mjini kazi yake kuchukuwa watu kuwapeleka mijini Train bus kuna mabasi ya watu binafsi Private bus

kuna mabasi ya serikali,kuna madaladala hakuna shida ya usafiri wala umeme wala shida ya maji kukatika. Hayo ndio maisha

Mwanadamu anayotakiwa kuishi sio nyumbnai kwetu huko bongo Maji shida umeme wa mgao,Usafiri shida kila kitu shida sasa

hao wanaotawala wanawatawala Wanyama sio binadamu? Hata huyo mnyama usipomuangalia vizuri anakufa haraka Mkuu jaribu

kuzungumza point usizungumze maneno ya Pumba. Binadamu anatakiwa vitu vya lazima ili aweze kuishi kibinadamu sio

Binadamu aishi kama mnyama mkuu Triple G Samahani kama nitakukwaza.

sawa Mkuu lakini mimi sipapendi Dar kuna mkusanyiko wa Watu wengi halafu hakuna Raha yoyote ile Dar Wezi wengi majambazi wa kumwaga usiku huwezi hata kutembea wasiwasi mtupu mpaka uwe na Bodyguard Dar hainifai hata kidogo mji ninaoupenda ni mji wa Arusha au Tanga Au Zanzibar au kama nikae Dar basi nikae nje ya Dar kibaha wewe unasemaje? mkuu Kaitampunu

Ok nadhani tutapanga ukija au siyo MziziMkavu?
 
Mkuu nimeongea na Dobi wa mtaani kaniambia pasi hiyo ndiyo bomba kwa kunyooshea suti.he he he,eti inasimama kama uniform ya FFU
Pasi hiyo kwa huko kwetu africa ni kitu cha kawaida ila kwa huku nje Ughaibuni ni kitu kigeni sana tena majirani wakikuona nayo watashangaa na kukuliza hii ni kitu gani? mimi siku moja nilienda

kuulizia kibatari cha utambi wqa kutia mafuta nikawa ninakitaka jamaa anaye uza hicho kibatari akaniuliza unakwenda nacho nyumbani

kukifanyia kitu gani?nikacheka sana nikamuuliza bei gani akanijibu Dola 10 kwa pesa ya huko nyumbani ni shilingi Elfu 15

nikamuomba anaipunguzie akakataa nikakiacha nilikuwa nina hamu nacho nikiweke nyumbani kama show tu kila nikikiona niwe

nakumbuka nyumbani lakini sikuweza kukinunuwa kwa sababu bei ghali.Mkuu Chakaza
 
Last edited by a moderator:
Nawewe poyoyo nini? Unajua wakubwa uchwara wanavyotafuna tanesco nguzo laki tano mpka mtu apate umeme mamilioni. Kulikua na kiwanda cha kuchemsha magogo mbeya wakakibani makusudi. Wanapeleka kuchemsha nje ili kuongeza bei. Wizi mtupu. Sio unashangaa hovyo umeme wenyewe haufiki asilimia 20 ya watumiaji. Unataka tutumie nini?
 
Jamaa nazani atakuwa katoka katika familia za vigogo zile ambazo toka tunazaliwa mpaka tunazeeka wao wapo madarakani wanakula bata hawajui shida wao, so anaona pasi kama hz kwake kama kituko vile, anasahau watanzania wengi wa kawaida hawana umeme na wale walionao wanatumia kwa kuwasha taa, radio na tv tu, wanashindwa ku-afford maana gharama ya umeme ipo juu, jamani tuwe tunaangalia na wengine (majority) wanaishi vp tusiwe wabinafsi.
 
Back
Top Bottom