Penzi ni kikohozi kulificha huliweziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................................
Huu wimbo sijui aliimba nani but mie nimecopy and paste @right reserved
Fresh Jumbe nadhani.....hahahah
Dena bana kweli kabisa mapenzi hayafichiki ndio maana ninauliza uhalisia wa maneno hayo ya vijiweni??
Ni mara nyingi tunaambiwa na we nae.....ulimwonyesha kuwa unampenda sana ndio maana!! ..........sasa utakizuiaje kikohozi nacho kishafika kooni??!!
Hivi....eti nimpende mtu halafu niigize nampenda kidogo ili asiniletee mapozi? Haiwezekani. Nitasema juu ya wasichana:
- Si kweli kuwa ukimpenda msichana na ukamwonesha hivyo atakunyanyasa. Ukimwonesha umemfia atakunyanyasa. Nachomaanisha ni kuwa ukimwonesha umempenda kupiliza kiwango cha kutomwonesha dissatisfaction aki-misbehave atakunyanyasa kwa kuwa atakuwa anajua amekosea na huna uwezo wa kuchukua uamuzi wowote. Mvulana au msichana ni lazima amwoneshe mwenza wake kuwa anampenda na pia amwoneshe anaweza kuchukua hatua ya kuachana naye kama atafanya makosa na kuyarudia. Simaanishi umtishe kuwa utamwacha ila kuna namna ya kumwonesha kuwa umempenda na unajitambua katika kumpenda kwako. Namna mojawapo ni kumwambia kuwa unampenda kwa sababu unaamini anastahili kupendwa na kwa sababu unaamini atakuwa mwaminifu na mtiifu kwako. Mwambie, "Honey, kile utachokipata katika uhusiano wetu ni kile nachodhani unastahili na ninachoweza kukifanya juu yako. Kile nachostahili mimi ni kazi yako wewe kunipa. Kama kuna kitu ntachokosea usiache kuniambia nijisahihishe."
[*]Tunachokosea ni kumruhusu mtu awe na wasichana wengine halafu "sisi" tunaishia kulia tu. Unamwambia unamwacha halafu then unarudi, hapo unategemea nini? Usiwahi kumtisha kuwa unamwacha, mwambie kuwa hauridhiki na anachokifanya. Mwambie pia japo hauna ushahidi lakini vitendo na ishara zake zinakunyima amani, mwambie aifanyie kazi hofu yako. Anayekupenda atakusikiliza, asiyekupenda ni kazi kwako kuendelea kumlilia kama moyo wako "umemfia."
Nikimpenda msichana, kwanza ntamwambia, pili yeye mwenyewe ataona tu. Mimi naweza kuandika mashairi....... eti jamani nimpende mtu halafu niogope kumwandikia verse, sasa kipaji changu hiki ntakitumia wapi?
- Hata hivyo ni vizuri kuweka kiasi katika mahusiano (Si kumwonesha kidogo unampenda). Kiasi maana yake usinunue kila kitu hata kama uwezo wako ni mdogo, kumbuka wenzi wetu wanajua uwezo wetu. Kama mwanamume una pesa na mwanamke akajua una pesa usimnunulie magari kila siku, atadhani unafanya hivyo kwa kuwa una uwezo, siku nyingine nunua pipi au mdoli. Bei ya mdoli si dalili ya utajiri ni dalili ya kupenda. Sasa kama ataweka nyodo ni juu yake. Ila naye ni lazima akununulie japo leso. Wavulana nawapasha leo: Kama mwanamke anakupenda nakuhakikishia atakuletea hata big g. Ukiona anaomba tu vocha, halipii nauli, halipii msosi, hapigi japo sekunde, anabipu tu, baba... hakupendi. Ndiyo ni mzuri sana. Ndiyo unampenda sana. Ndiyo "unashindwa" kumwacha. ndiyo alikuwa miss Tanzania. Ndiyo anaongea kiingereza. Ndiyo ukimwacha atachukuliwa na Diamond (sorry kwa kumtaja). Ndiyo yeye ni maarufu kuliko wewe. Ukweli ni mmoja tu hakupendi.
- MWONESHE UNAMPENDA. AKIRINGA ONGEA NAYE. ASIPOBADILIKA MWAMBIE TENA. ASIPOBADILIKA ACHANA NAYE. USIACHE KUMWONNESHA UNAYEMPENDA KUWA UNAMPENDA. Ila nayempenda naye...........
Anipende mimi kama mimi,
Si kisa eti mi msanii,
Au labda naonejkana sana kwenye Tivii,
Ila wa kunishauri juu ya HIVii,
Si lazima awe na lipsi pana,
Si lazima akicheka awe ana mwanya.
(Ubeti toka wimbo wa Daz Baba ft Mangwea - Wife)
Penzi ni kikohozi kulificha huliweziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................................
Huu wimbo sijui aliimba nani but mie nimecopy and paste @right reserved
Kupenda sio kosa wala kuonyesha mapenzi sio kosa, kosa ni kuonyesha kuwa huwezi kuishi bila mapenzi ya fulani.
Hivi....eti nimpende mtu halafu niigize nampenda kidogo ili asiniletee mapozi? Haiwezekani. Nitasema juu ya wasichana:
- Si kweli kuwa ukimpenda msichana na ukamwonesha hivyo atakunyanyasa. Ukimwonesha umemfia atakunyanyasa. Nachomaanisha ni kuwa ukimwonesha umempenda kupiliza kiwango cha kutomwonesha dissatisfaction aki-misbehave atakunyanyasa kwa kuwa atakuwa anajua amekosea na huna uwezo wa kuchukua uamuzi wowote. Mvulana au msichana ni lazima amwoneshe mwenza wake kuwa anampenda na pia amwoneshe anaweza kuchukua hatua ya kuachana naye kama atafanya makosa na kuyarudia. Simaanishi umtishe kuwa utamwacha ila kuna namna ya kumwonesha kuwa umempenda na unajitambua katika kumpenda kwako. Namna mojawapo ni kumwambia kuwa unampenda kwa sababu unaamini anastahili kupendwa na kwa sababu unaamini atakuwa mwaminifu na mtiifu kwako. Mwambie, "Honey, kile utachokipata katika uhusiano wetu ni kile nachodhani unastahili na ninachoweza kukifanya juu yako. Kile nachostahili mimi ni kazi yako wewe kunipa. Kama kuna kitu ntachokosea usiache kuniambia nijisahihishe."
- Tunachokosea ni kumruhusu mtu awe na wasichana wengine halafu "sisi" tunaishia kulia tu. Unamwambia unamwacha halafu then unarudi, hapo unategemea nini? Usiwahi kumtisha kuwa unamwacha, mwambie kuwa hauridhiki na anachokifanya. Mwambie pia japo hauna ushahidi lakini vitendo na ishara zake zinakunyima amani, mwambie aifanyie kazi hofu yako. Anayekupenda atakusikiliza, asiyekupenda ni kazi kwako kuendelea kumlilia kama moyo wako "umemfia."
- Nikimpenda msichana, kwanza ntamwambia, pili yeye mwenyewe ataona tu. Mimi naweza kuandika mashairi....... eti jamani nimpende mtu halafu niogope kumwandikia verse, sasa kipaji changu hiki ntakitumia wapi?
- Hata hivyo ni vizuri kuweka kiasi katika mahusiano (Si kumwonesha kidogo unampenda). Kiasi maana yake usinunue kila kitu hata kama uwezo wako ni mdogo, kumbuka wenzi wetu wanajua uwezo wetu. Kama mwanamume una pesa na mwanamke akajua una pesa usimnunulie magari kila siku, atadhani unafanya hivyo kwa kuwa una uwezo, siku nyingine nunua pipi au mdoli. Bei ya mdoli si dalili ya utajiri ni dalili ya kupenda. Sasa kama ataweka nyodo ni juu yake. Ila naye ni lazima akununulie japo leso. Wavulana nawapasha leo: Kama mwanamke anakupenda nakuhakikishia atakuletea hata big g. Ukiona anaomba tu vocha, halipii nauli, halipii msosi, hapigi japo sekunde, anabipu tu, baba... hakupendi. Ndiyo ni mzuri sana. Ndiyo unampenda sana. Ndiyo "unashindwa" kumwacha. ndiyo alikuwa miss Tanzania. Ndiyo anaongea kiingereza. Ndiyo ukimwacha atachukuliwa na Diamond (sorry kwa kumtaja). Ndiyo yeye ni maarufu kuliko wewe. Ukweli ni mmoja tu hakupendi.
- MWONESHE UNAMPENDA. AKIRINGA ONGEA NAYE. ASIPOBADILIKA MWAMBIE TENA. ASIPOBADILIKA ACHANA NAYE. USIACHE KUMWONNESHA UNAYEMPENDA KUWA UNAMPENDA. Ila nayempenda naye...........
Anipende mimi kama mimi,
Si kisa eti mi msanii,
Au labda naonejkana sana kwenye Tivii,
Ila wa kunishauri juu ya HIVii,
Si lazima awe na lipsi pana,
Si lazima akicheka awe ana mwanya.
(Ubeti toka wimbo wa Daz Baba ft Mangwea - Wife)
Hapana si kunyanyasika......kuna baadhi ya vitu ambavyo pale mnapokuwa mmezoeana huwa vinapungua na pale mwenzi wako anapojaribu kuquestion huwa kama vile tunapuuza.......akiifyumu huwa tunaignore na hapo ndo ule usemi wa usimwonyeshe kama umefika saaaana huapply lol.
Mfano hun wako anatamani wenda cinema, na alikwambia muda mrefu tu then siku ya siku unachomoa, akinuna ,,,,,,,,,,,,,,we kwa vile ukionyesha kuhudhunika kwako na kumwomba samahani unajiona kama vile umekwenda an et\xtra mile........na washkaji hawakawii kukwambia unamuendekeza usimwonyeshe kuwa unampenda saaaaaaaaaaana
MwanajamiiOne asante kwa hii topic
Asanteni sana wachangiaji wote mmemwaga point za vungu
Av learnt soo much from you guys
Muhimu kwangu,na hii naahidi kuipractise:
1. Love someone as much as your heart is willing
2. Show your love as much as you can
3. Ingia kwenye relationship na moyo na akili
4. Usionyeshe you are a desperate type
5. You still have a life even if you wont share it with him
Mbarikiwe sana
Wanajamii
Natumaini wote wazima.........................
Ni mara nyingi nimekuwa nikisikie kuwa ..Kama unataka mwanaume/mwanamke wako kimapenzi asikuchoke basi usimwonyeshe kuwa kwake umefika............yaani hata kama unampenda sana basi unatakiwa usionyeshe!!!
How do people do that?? Mapenzi si wanasema ni kikohozi, hayajifichi?? sasa hapa inakuwaje au inakuwagaje?
Mimi nashanga sana! hata kuna rafiki yangu mwanaume alimpa ushauri rafiki yangu wa kike eti ajifanye hampendi bwana wake ili jamaa ampapatikie, mie nikipenda nataka ulimwengu mzima ujue including mhusikaWanajamii
Natumaini wote wazima.........................
Ni mara nyingi nimekuwa nikisikie kuwa ..Kama unataka mwanaume/mwanamke wako kimapenzi asikuchoke basi usimwonyeshe kuwa kwake umefika............yaani hata kama unampenda sana basi unatakiwa usionyeshe!!!
How do people do that?? Mapenzi si wanasema ni kikohozi, hayajifichi?? sasa hapa inakuwaje au inakuwagaje?
Na hii ndio ilitakiwa iwe conclusion ya hii sred. umeipanga vizuri kweli daughter. aiseee! unafanya kazi ya kupanga ratiba za safari za rais nini? lol
imetulia kweli
in an intimate relationship the power lies whith who cares less. unampenda,be kind,play ur part.bt signs of desperation nadhani zinamfanya mwenza akimbie.nadhani nimeona hii,unapompenda mwanaume hadi unaskia kama unapata kichaa,anaanza kuleta maringo.when u almost give up,ana-notice na kuanza kukufukuzia tena.i guess chilling out and take life as it is ndo unaambiwa usimuoneshe.dont go over the roof over petty stuff.what am i saying again,sorry im half asleep,lol!