Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,904
WANAWAKE HAWAPENDI KUULIZWA MASWALI, WEE FANYA TUU; WATAKUONA WEWE NDIYE DUME.

Anaandika, Robert Heriel.
Taikon Master.

Kuuliza uliza maswali ni dalili ya kutokujiamini, Wakati Wanawake wanataka mwanaume anayejiamini.
Kutokujua nini unafanya, Wakati Wanawake wanataka wanaume wajuvi na waalimu wao. Wanawake hawataki wanaume ambao hawajakomaa.

Kuuliza uliza maswali ni ishara kuwa unawasiwasi, unaogopa na hakika hauna mamlaka. Na Mbaya zaidi unauliza Kwa MTU asiyesahihi.

Imagine unamuuliza demu hivi; Umeridhika? Au umekojoa? Au unahamu? Yaani kama chizi hivi.
Mwanamke anataka mwanaume anayemuelewa, Mwanamke akiwa na Mwanaume hutumia zaidi Lugha ya mwili kuliko Lugha ya mazungumzo. Na kama atatumia Lugha ya mazungumzo basi atatumia zaidi mbinu mbili;

1. Mbinu ya mafumbo.

2. Mbinu y unyume.

Kama hajafurahi atasema amefurahi, na kama amefurahi basi atasema hajafurahi au akae kimya.

Wanawake wanapenda wanaume Smart, mbali na kuwa Pesa lakini wanawake wanapenda wanaume wanaowaelewa.

Mwanamke anataka kulumbatiwa alafu unamuuliza nikukumbatie? Wewe kama sio chizi ni nini?
" nikubusu"
" Nikubebe"
" Nikutambarize, nikulale"
Huo ni ujinga.

Taikon kama mzoefu wa Saikolojia na physiology ya Wanawake ninakuambia hivi, ukitaka kufanya Jambo Kwa Mwanamke wako fanya. Hayo ni mamlaka na Huko ni kujiamini,na Mwanamke wako atakupenda.

Mfano; umerudi Kutoka kazini, au umekutana na Mpenzi wako, msalimie, umvute karibu yako kimahaba kisha mkumbatie Kwa nguvu ahisi joto lako, hakikisha Viungo vyake vya mwili umevikamata Kwa kiwango cha wastani, ahisi kama anafanyiwa tiba ya misuli, kisha muachie busu zito, kisha mkiachana unampiga kikofi cha tako,

Mwanamke anataka ajione unamamlaka juu yake, sio ulete mambo ya usawa au kumuuliza maswali.

Mfano no 2. Unataka kufanya Mapenzi naye;
Hakuna kitu Wanawake wanapenda kama kumuona mwanaume anayempenda akiwa katika state ya kumtaka kingono, tena akikuona umesimamisha uume wako anafurahi Sana, ingawaje hataonyesha Jambo hilo, Ila body language yake itaonyesha. Kwanza ataona unampenda na kuona kumbe anakusisimua.

Hata kama anakataa n kujifanya anatoa udhuru, wewe tumia mamlaka yako kijanja.

Kamwe usimwambie unahamu, Hilo ni kosa la kiufundi, pili usimuombe game Hilo pia ni kosa.

Muite kitandani ukiwa na Boxer au bukta unayoshindia kila Wakati.

Muweke kifuani Mwako endeleeni na Stori huku unamtomasa tomasa, ongea Sauti za hakika zenye ushawishi wa kimapenzi, sio umwombe Noop! Eleza jinsi alivyo, elezea jinsi unapomuona unavyojisikia, muonyeshe mjegeje wako jinsi ulivyofurahi kuona kiungo chake(unataja labda upaja, au tako, au ziwa au Jambo lolote ambalo linamuingia akilini).

Dakika 10 nyingi naye atakuwa amesisimkwa, mtajikuta mpo mchezoni. Unapiga mechi, mnaenjoy.
Sio unaparamia vitu kama Konda wa Mbagala.

Alafu kuna Ile Unamuona kabisa Mpenzi au Mkeo anahamu alafu ulivyomjinga ATI unamuuliza, "Unahamu?" Kama jinga Fulani.

Wanawake wanapenda wanaume wanaojiongeza.

Sio kuuliza maswali kama mtoto Mdogo.

Wanawake kisaikolojia hata wakiwa wanahamu furaha Yao ni kuona wewe ndio unasahitaji kimapenzi/kingono kuliko wao wanavyokuhitaji. Hiyo huwafanya wajione wanavutia Waume au wapenzi wao.

Unaona Mwanamke amekasirika alafu muda huohuo unamuuliza umekasirika nini. Akili yako haijiongezi kuwa nini kimemfanya Mkeo au Mpenzi wako akasirike? Ni kweli huenda haujui kilichomkasirisha mkeo au Mpenzi wako lakini kamwe usiulize maswali kwani hiyo pia itamfanya akasirike zaidi Kwa kuona humjui na kama humjui basi moja Kwa moja atajua haumpendi. Unaona mambo hayo ya Dada zetu hayo.

Fika, umekuta amenuna, ingia, msalimie, labda hajaitikia, nenda kaa karibu yake, zungumza naye Huku labda unavua viatu au koti au kufungua Shati la kazini, mtolee Zawadi labda ni pipi au chochote ulichobeba, mwambie embu Kula hii kipenzi changu utulize Nafsi, alafu kuna taarifa nzuri nataka kukupa, najua kinachokusumbua hakitaweza kupambana na Mimi. Utamuona akibadilika na kuanza kufunguka, nini kinachomsumbua.

Sio ujifanye una-stress za kazini kuliko za Mkeo. Au Mpenzi wako. Mwambie upo kwaajili yake na kwaajili ya kumpa furaha, na yeyote au chochote ambacho kitaivuruga furaha yake hautakuwa tayari, kisha msikilize. Sio uanze kumfokea kana kwamba nawe umekuwa zero emotional intelligence.

Mwanaume lazima uwe na majibu yote ha maswali ya Mkeo au Mpenzi wako. Kama huna majibu basi atatafuta majibu Kwa wanaume wengine.

Wanawake ni kama Watoto, wanapenda kujaribujaribu mambo na kukujaribu ili kuona how smart and tough you are, tumia hata Uongo wenye Akili kuyajibu maswali Yao. Na kamwe usiwaulize maswali.

Vinginevyo maswali yako yalenge kuwatukuza na kuwasifia, mfano, hivi unawezaje kupika chakula kizuri kama hicho?

Hivi unaweza kunifanya niwe mwanaume msafi kiasi hiki?

Hivi haya mauno ulijifunzia wapi?

Hayo ni maswali yanayolenga kumsifia na kumtukuza Mkeo au Mpenzi wako. Na hayahitaji majibu yake kwani unaweza kuendelea kusifia tukio linaloendelea.

Mshike mkono, kisha mvute kiasi kama unampepesusha na akiwa anatetereka unamtuliza, akiwa ametulia na kuanza kukutukana kuwa hapendi, eleza furaha yako.

Sio unakutana na demu barabara ATI unamwambia naomba mkono, unaomba!!! Unaumwa wewe!

Acha nipumzike SASA.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
WANAWAKE HAWAPENDI KUULIZWA MASWALI, WEE FANYA TUU; WATAKUONA WEWE NDIYE DUME.

Anaandika, Robert Heriel.
Taikon Master.

Kuuliza uliza maswali ni dalili ya kutokujiamini, Wakati Wanawake wanataka mwanaume anayejiamini.
Kutokujua nini unafanya, Wakati Wanawake wanataka wanaume wajuvi na waalimu wao. Wanawake hawataki wanaume ambao hawajakomaa.
Kuuliza uliza maswali ni ishara kuwa unawasiwasi, unaogopa na hakika hauna mamlaka. Na Mbaya zaidi unauliza Kwa MTU asiyesahihi.

Imagine unamuuliza demu hivi; Umeridhika? Au umekojoa? Au unahamu? Yaani kama chizi hivi.
Mwanamke anataka mwanaume anayemuelewa, Mwanamke akiwa na Mwanaume hutumia zaidi Lugha ya mwili kuliko Lugha ya mazungumzo. Na kama atatumia Lugha ya mazungumzo basi atatumia zaidi mbinu mbili;
1. Mbinu ya mafumbo.
2. Mbinu y unyume.
Kama hajafurahi atasema amefurahi, na kama amefurahi basi atasema hajafurahi au akae kimya.

Wanawake wanapenda wanaume Smart, mbali na kuwa Pesa lakini wanawake wanapenda wanaume wanaowaelewa.

Mwanamke anataka kulumbatiwa alafu unamuuliza nikukumbatie? Wewe Kama sio chizi ni nini?
" nikubusu"
" Nikubebe"
" Nikutambarize, nikulale"
Huo ni ujinga.

Taikon kama mzoefu wa Saikolojia na physiology ya Wanawake ninakuambia hivi, ukitaka kufanya Jambo Kwa Mwanamke wako fanya. Hayo ni mamlaka na Huko ni kujiamini,na Mwanamke wako atakupenda.

Mfano; umerudi Kutoka kazini, au umekutana na Mpenzi wako, msalimie, umvute karibu yako kimahaba kisha mkumbatie Kwa nguvu ahisi joto lako, hakikisha Viungo vyake vya mwili umevikamata Kwa kiwango cha wastani, ahisi kama anafanyiwa tiba ya misuli, kisha muachie busu zito, kisha mkiachana unampiga kikofi cha tako,

Mwanamke anataka ajione unamamlaka juu yake, sio ulete mambo ya usawa au kumuuliza maswali.

Mfano no 2. Unataka kufanya Mapenzi naye;
Hakuna kitu Wanawake wanapenda kama kumuona mwanaume anayempenda akiwa katika state ya kumtaka kingono, tena akikuona umesimamisha uume wako anafurahi Sana, ingawaje hataonyesha Jambo hilo, Ila body language yake itaonyesha. Kwanza ataona unampenda na kuona kumbe anakusisimua.

Hata kama anakataa n kujifanya anatoa udhuru, wewe tumia mamlaka yako kijanja.
Kamwe usimwambie unahamu, Hilo ni kosa la kiufundi, pili usimuombe game Hilo pia ni kosa.
Muite kitandani ukiwa na Boxer au bukta unayoshindia kila Wakati.
Muweke kifuani Mwako endeleeni na Stori huku unamtomasa tomasa, ongea Sauti za hakika zenye ushawishi wa kimapenzi, sio umwombe Noop! Eleza jinsi alivyo, elezea jinsi unapomuona unavyojisikia, muonyeshe mjegeje wako jinsi ulivyofurahi kuona kiungo chake(unataja labda upaja, au tako, au ziwa au Jambo lolote ambalo linamuingia akilini)
Dakika 10 nyingi naye atakuwa amesisimkwa, mtajikuta mpo mchezoni. Unapiga mechi, mnaenjoy.
Sio unaparamia vitu kama Konda wa Mbagala.

Alafu kuna Ile Unamuona kabisa Mpenzi au Mkeo anahamu alafu ulivyomjinga ATI unamuuliza, "Unahamu?" Kama jinga Fulani.
Wanawake wanapenda wanaume wanaojiongeza.
Sio kuuliza maswali kama mtoto Mdogo.

Wanawake kisaikolojia hata wakiwa wanahamu furaha Yao ni kuona wewe ndio unasahitaji kimapenzi/kingono kuliko wao wanavyokuhitaji. Hiyo huwafanya wajione wanavutia Waume au wapenzi wao.

Unaona Mwanamke amekasirika alafu muda huohuo unamuuliza umekasirika nini. Akili yako haijiongezi kuwa nini kimemfanya Mkeo au Mpenzi wako akasirike? Ni kweli huenda haujui kilichomkasirisha mkeo au Mpenzi wako lakini kamwe usiulize maswali kwani hiyo pia itamfanya akasirike zaidi Kwa kuona humjui na kama humjui basi moja Kwa moja atajua haumpendi. Unaona mambo hayo ya Dada zetu hayo.

Fika, umekuta amenuna, ingia, msalimie, labda hajaitikia, nenda kaa karibu yake, zungumza naye Huku labda unavua viatu au koti au kufungua Shati la kazini, mtolee Zawadi labda ni pipi au chochote ulichobeba, mwambie embu Kula hii kipenzi changu utulize Nafsi, alafu kuna taarifa nzuri nataka kukupa, najua kinachokusumbua hakitaweza kupambana na Mimi. Utamuona akibadilika na kuanza kufunguka, nini kinachomsumbua.
Sio ujifanye una-stress za kazini kuliko za Mkeo. Au Mpenzi wako. Mwambie upo kwaajili yake na kwaajili ya kumpa furaha, na yeyote au chochote ambacho kitaivuruga furaha yake hautakuwa tayari, kisha msikilize.
Sio uanze kumfokea kana kwamba nawe umekuwa zero emotional intelligence.

Mwanaume lazima uwe na majibu yote ha maswali ya Mkeo au Mpenzi wako. Kama huna majibu basi atatafuta majibu Kwa wanaume wengine.

Wanawake ni kama Watoto, wanapenda kujaribujaribu mambo na kukujaribu ili kuona how smart and tough you are,
Tumia hata Uongo wenye Akili kuyajibu maswali Yao. Na kamwe usiwaulize maswali.

Vinginevyo maswali yako yalenge kuwatukuza na kuwasifia, mfano, hivi unawezaje kupika chakula kizuri kama hicho?
Hivi unaweza kunifanya niwe mwanaume msafi kiasi hiki?
Hivi haya mauno ulijifunzia wapi?
Hayo ni maswali yanayolenga kumsifia na kumtukuza Mkeo au Mpenzi wako. Na hayahitaji majibu yake kwani unaweza kuendelea kusifia tukio linaloendelea.

Mshike mkono, kisha mvute kiasi kama unampepesusha na akiwa anatetereka unamtuliza, akiwa ametulia na kuanza kukutukana kuwa hapendi, eleza furaha yako.

Sio unakutana na demu barabara ATI unamwambia naomba mkono, unaomba!!! Unaumwa wewe!

Acha nipumzike SASA.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Asante Kwa shule hii

Acha nikajaribu sehemu
 
Lastborn una hamu ya kuitiwa mwizi?try it at ur own risky
nna makomfidensi hatari hasa nikivutiwa nikavutika kweli kweli 😂

j4 nilikuwa nimesimama kwenye daladala akapanda dada mmoja kabana nywele kama jumong style ya kisabato, nilivutiwa nae wakati konda anaokota nauli nikasogea nikamlipia, nikamchangamkia kama tunafahamiana nikampa maua yake sikujali macho ya watu, nikamwagia sifa kapendeza akashukuru japo alikaza kutoa namba, niliambulia jina tu. We miriamu kama upo humu uje piemu mara moya hakika uliifanya siku yangu kuwa njema sana asubuhi kabisa. 😂
 
WANAWAKE HAWAPENDI KUULIZWA MASWALI, WEE FANYA TUU; WATAKUONA WEWE NDIYE DUME.

Anaandika, Robert Heriel.
Taikon Master.

Kuuliza uliza maswali ni dalili ya kutokujiamini, Wakati Wanawake wanataka mwanaume anayejiamini.
Kutokujua nini unafanya, Wakati Wanawake wanataka wanaume wajuvi na waalimu wao. Wanawake hawataki wanaume ambao hawajakomaa.

Kuuliza uliza maswali ni ishara kuwa unawasiwasi, unaogopa na hakika hauna mamlaka. Na Mbaya zaidi unauliza Kwa MTU asiyesahihi.

Imagine unamuuliza demu hivi; Umeridhika? Au umekojoa? Au unahamu? Yaani kama chizi hivi.
Mwanamke anataka mwanaume anayemuelewa, Mwanamke akiwa na Mwanaume hutumia zaidi Lugha ya mwili kuliko Lugha ya mazungumzo. Na kama atatumia Lugha ya mazungumzo basi atatumia zaidi mbinu mbili;

1. Mbinu ya mafumbo.

2. Mbinu y unyume.

Kama hajafurahi atasema amefurahi, na kama amefurahi basi atasema hajafurahi au akae kimya.

Wanawake wanapenda wanaume Smart, mbali na kuwa Pesa lakini wanawake wanapenda wanaume wanaowaelewa.

Mwanamke anataka kulumbatiwa alafu unamuuliza nikukumbatie? Wewe kama sio chizi ni nini?
" nikubusu"
" Nikubebe"
" Nikutambarize, nikulale"
Huo ni ujinga.

Taikon kama mzoefu wa Saikolojia na physiology ya Wanawake ninakuambia hivi, ukitaka kufanya Jambo Kwa Mwanamke wako fanya. Hayo ni mamlaka na Huko ni kujiamini,na Mwanamke wako atakupenda.

Mfano; umerudi Kutoka kazini, au umekutana na Mpenzi wako, msalimie, umvute karibu yako kimahaba kisha mkumbatie Kwa nguvu ahisi joto lako, hakikisha Viungo vyake vya mwili umevikamata Kwa kiwango cha wastani, ahisi kama anafanyiwa tiba ya misuli, kisha muachie busu zito, kisha mkiachana unampiga kikofi cha tako,

Mwanamke anataka ajione unamamlaka juu yake, sio ulete mambo ya usawa au kumuuliza maswali.

Mfano no 2. Unataka kufanya Mapenzi naye;
Hakuna kitu Wanawake wanapenda kama kumuona mwanaume anayempenda akiwa katika state ya kumtaka kingono, tena akikuona umesimamisha uume wako anafurahi Sana, ingawaje hataonyesha Jambo hilo, Ila body language yake itaonyesha. Kwanza ataona unampenda na kuona kumbe anakusisimua.

Hata kama anakataa n kujifanya anatoa udhuru, wewe tumia mamlaka yako kijanja.

Kamwe usimwambie unahamu, Hilo ni kosa la kiufundi, pili usimuombe game Hilo pia ni kosa.

Muite kitandani ukiwa na Boxer au bukta unayoshindia kila Wakati.

Muweke kifuani Mwako endeleeni na Stori huku unamtomasa tomasa, ongea Sauti za hakika zenye ushawishi wa kimapenzi, sio umwombe Noop! Eleza jinsi alivyo, elezea jinsi unapomuona unavyojisikia, muonyeshe mjegeje wako jinsi ulivyofurahi kuona kiungo chake(unataja labda upaja, au tako, au ziwa au Jambo lolote ambalo linamuingia akilini).

Dakika 10 nyingi naye atakuwa amesisimkwa, mtajikuta mpo mchezoni. Unapiga mechi, mnaenjoy.
Sio unaparamia vitu kama Konda wa Mbagala.

Alafu kuna Ile Unamuona kabisa Mpenzi au Mkeo anahamu alafu ulivyomjinga ATI unamuuliza, "Unahamu?" Kama jinga Fulani.

Wanawake wanapenda wanaume wanaojiongeza.

Sio kuuliza maswali kama mtoto Mdogo.

Wanawake kisaikolojia hata wakiwa wanahamu furaha Yao ni kuona wewe ndio unasahitaji kimapenzi/kingono kuliko wao wanavyokuhitaji. Hiyo huwafanya wajione wanavutia Waume au wapenzi wao.

Unaona Mwanamke amekasirika alafu muda huohuo unamuuliza umekasirika nini. Akili yako haijiongezi kuwa nini kimemfanya Mkeo au Mpenzi wako akasirike? Ni kweli huenda haujui kilichomkasirisha mkeo au Mpenzi wako lakini kamwe usiulize maswali kwani hiyo pia itamfanya akasirike zaidi Kwa kuona humjui na kama humjui basi moja Kwa moja atajua haumpendi. Unaona mambo hayo ya Dada zetu hayo.

Fika, umekuta amenuna, ingia, msalimie, labda hajaitikia, nenda kaa karibu yake, zungumza naye Huku labda unavua viatu au koti au kufungua Shati la kazini, mtolee Zawadi labda ni pipi au chochote ulichobeba, mwambie embu Kula hii kipenzi changu utulize Nafsi, alafu kuna taarifa nzuri nataka kukupa, najua kinachokusumbua hakitaweza kupambana na Mimi. Utamuona akibadilika na kuanza kufunguka, nini kinachomsumbua.

Sio ujifanye una-stress za kazini kuliko za Mkeo. Au Mpenzi wako. Mwambie upo kwaajili yake na kwaajili ya kumpa furaha, na yeyote au chochote ambacho kitaivuruga furaha yake hautakuwa tayari, kisha msikilize. Sio uanze kumfokea kana kwamba nawe umekuwa zero emotional intelligence.

Mwanaume lazima uwe na majibu yote ha maswali ya Mkeo au Mpenzi wako. Kama huna majibu basi atatafuta majibu Kwa wanaume wengine.

Wanawake ni kama Watoto, wanapenda kujaribujaribu mambo na kukujaribu ili kuona how smart and tough you are, tumia hata Uongo wenye Akili kuyajibu maswali Yao. Na kamwe usiwaulize maswali.

Vinginevyo maswali yako yalenge kuwatukuza na kuwasifia, mfano, hivi unawezaje kupika chakula kizuri kama hicho?

Hivi unaweza kunifanya niwe mwanaume msafi kiasi hiki?

Hivi haya mauno ulijifunzia wapi?

Hayo ni maswali yanayolenga kumsifia na kumtukuza Mkeo au Mpenzi wako. Na hayahitaji majibu yake kwani unaweza kuendelea kusifia tukio linaloendelea.

Mshike mkono, kisha mvute kiasi kama unampepesusha na akiwa anatetereka unamtuliza, akiwa ametulia na kuanza kukutukana kuwa hapendi, eleza furaha yako.

Sio unakutana na demu barabara ATI unamwambia naomba mkono, unaomba!!! Unaumwa wewe!

Acha nipumzike SASA.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Heeeeh! Heriel karudi kwenye uKUNGWI?
 
Back
Top Bottom