NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
Hongera sana mkuu bibi kakolea sana wala usiwe na hofu hilo jambo la kawaida kabisa. kukutoa wasi hatamimi natabia hiyo hupenda sana harufu ya mjukuu wako hapa kinachoongelewa ni harufu ya mtu asilia na sio ya uchafu au majasho na kunawengine huwa wanatatzo la kikwapa hatukusudii hizo Dena Amsi kisha gomba huko hakuna mtu anapenda harufu mbaya. Dena jaribu sikumoja ukiamka asubui koga na usijitie marashi ya mafuta tumia kama bodisprei ya kawaida na nenda zako kazini ukirudi jioni oga usitumie marashi kabisa wala losheni na jaribu kuwa karibu sana na mzee na kama ukitaka kusibitisha jishugulishe kidogo mwili upate joto sikusudii uvuje jasho laa upate joto mwili uchemka ndio hupatikana usilia wa harufu yako yakibinaadam ukimsogelea jamaa walai haishukui dakika tano atakwambia anajiskia uendekumsaidia