Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Hizi takwimu za kweli? Kama za kweli inabidi hii anomaly Zitto aitolee maelezo.
Ze thinker Abduhalim:
Wanasema nchi zilizoundwa na wakoloni na kuunganisha jamii na imani nyingi tofauti, haziendelei. Ingekuwa watanzania wote tuna kabila moja na dini moja, mjadala huu usingekuwepo. Na tungekuwa tunawaza maendeleo. Anyway wacha wengine tuendelee kudunda huku viwanja.