Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
kwa taarifa zilizopo ni kuwa kakamatwa na jimama kawekwa ndani
kwi kwi kwi kwiììì!!! Natamani ningekuwa mimi!
kwa taarifa zilizopo ni kuwa kakamatwa na jimama kawekwa ndani
Jamani mwenye taarifa zaidi atujuze, ni tetesi nimezipata kwa mtu wangu wa karibu...
huyu jamaa alianza sound kwa my wife,.nilimuonya
Mara ya mwisho alionekana hotel ya Gold Crest katikati ya jiji la Mwanza akiwa na jimama la ukweheh!! Anakula raha kijana! Kama amekamatwa itakuwa ni hujuma tu....
Mweh! Ulikuwepo eneo la tukio nini? Yaani Goldcrest inahusika hapa
Huyu anatuhuma nyingi sana ya kutembea na wake za watu! Kaa nae mbali kabisa maana hakawii! Akijua tu upo na mimi, utamuana huyo!! Acha wampe displine kidogo.
Mzima wewe!
In aza weds umeshiriki kukamatwa kwake?
Jamani mwenye taarifa zaidi atujuze, ni tetesi nimezipata kwa mtu wangu wa karibu...
we thubutu yake, mwenyewe anajua. kwanza fyî hapa kafika. hasikii la mhazini wala mnadi sala. . . .
Ha ha ha !!Kumbe ndio zake? Basi mie ntakaa naye mbali haswaa!!!Akiniambia vitu vya kikubwa ntamuambia umenikataza!!!
Niko poa,weekend ndio inaanza kesho hivyo!!!
Ili iweje? Ili akishatoka awachukue mabibi zangu?
Good wife! Ukae nae mbali kabisa. Halafu akirudi Arusha lazima tumwadhibu kwa aibu aliyotuletea!
Wk end hii usijali. Nitakupeleka club 63 kisongo, ukale raha karibu kabisa na ngurumo ya upako!
Huyu aliingia anga zangu na bado ntamkazia mpaka wamkamate wamle 07122
kwi kwi kwi kwiììì!!! Natamani ningekuwa mimi!