Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hapa sikilizia mziki wake kesho, jamaa kabaki mdogo ka piritoni humu ataingia kama gesti
Erickb52 nilijua tu hutoki salama mwanza....
Lazima urogwe au ukamatwe ugoni
Yaani hapa sikilizia mziki wake kesho, jamaa kabaki mdogo ka piritoni humu ataingia kama gesti
Jamani apewe ulinzi wa kutosha asije akameza dawa ya kuulia panya!!!
Yaani hapa nimechoka, ndio tumemaliza centro hapa jamaa kaachiwa kwa masharti ya kutoondoka Mwanza hadi amalize ishu mi nimerejea zangu home nimewaacha kwenye taxi na charminglady, wameniambia sijui wanaenda tafuta gesti. Nshajichokea
Elizabeth Dominic usisahau mti mwema ndo hurushiwa mawe coz ndo unatoa matunda,achana nao vijana wamekuwa km CCM wenye siasa za fitina na majunguWala usimsingizie mkaka wa watu mboni ni kijana mstaarabu tu....sema haikuwa siku yake tu
Ronn M nawewe ni wakunipiga majungu?Huyu Erickb52 si ameonekana jana usiku akiingia kwenye hotel inayodaiwa kumilikiwa na riz na mwanadada aliyetambulishwa kama charminglady? Au Charminglady ndio mke wa Kamuhanda maana nasikia nae yupo mwanza kimapumziko. Sweetest lolito jeneneke upo mpenzi. Missin u honey
mbona taarifa zinasema ulikuwa nae? Mmefumaniwa nae au? Anyway, ngoja nisubiri kesho!