Ephraim Kibonde Jahazi Show

kibonde hatuwezi kuacha kamjadili ni hadui mkubwa wa maendeleo ya nchi hii.Mtu ambaye Hajasoma ufikiria kubebwa kirahisi.kaka don be carried easly fight in other ways but not this way
 
Kibonde siku hizi sikufichi mimi binafsi sikupendi kabisa mungu atanisamehe.ISHAHALA
 
(wanamwita suguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,(nani?) )X2 sugu,sugu,suguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. hip hop ya kweli ni harakati za utetezi kwa wanyonge, misimamo thabiti na ukweli halisi so naimani utavisimamia vyote na jamii yako itanufaika big up sugu.
 
Sasa hapa ndio kuna utata! Sugu asiwasahau wasanii wakati wao hakuna aliyempa support kwenye kampeni except wasanii wanne tu! C'mon man wasanii wa Tz ni hovyo sana walitakiwa wampe full support mwenzao wao wakawa wanamponda...Sasa awatetee kivipi??
hiki ndicho kilichonikera kwa hawa wapumbavu wa bongo fleva. mi nahisi wivu pia unachangia
 
hakuna dalili ya kibonde kupewa kwenye sahani wala sinia! alipojikuta yuko kwa room na jk hata swali likamshinda kuuliza
 
Kibonde mbona bwabwa lile !!!!!!!!!!!!!!!

Safiiiiiiiiiii anaishi kwa matumaini, kila mtua anajua, anaumwa mwenzenu, aliposikia anti virus alifikiri DAWA ya ukimwi imepatikana, kumbe ni wimbo, akawa kiherehere, this Kibonde ni punga, anaishi kwa matumaini period
 
Sugu ni mtu ambaye anakubarika saana na watu kwanza kwa sababu huyu bwana anaweza kusema bila kuogopa. Tunataka watu kama yeye, na sasa sugu usimwonee mtu huruma si uliona walichokufanyia? let them pay for this, fanya kazi baba. Kibonde hana reputations utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji. Sugu nilisahau msikilizishe Kibonde Anti virus latest volume.

YULE KIBONGE MSNGE tu!
AKIPEWA UBUNGE SI NIAME TANZANIA? Mnafiki hana lolote yule, kazi kujikomba kwa watu. anajiona yuko juu, wakati hana lolote kazi kusambaza ngoma tu, yeye ndo mmoja watangazaji ZERO kichwani, hana lolote.....
pic+113.jpg
 
Wanakuita SUGU Nani ?? wanakuita Sugu nani?? wanakuita Suguu, Sugu sugu sugu.Itafurahisha pale Spika wa Bunge atakaposema "Mheshimiwa Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya Mjini swali la nyongeza"

HONGERA JOSEPH MBILINYI.Hao wasanii walokutenga watajiju sasa na njaa zao.Wale wasanii wenye njaa zao pamoja na wapiga picha na waandishi uchwara kama Maggid na Michuzi wafe na njaa zao sasa.

Mheshimiwa MR.II aka Joseph Mbilinyi nenda bungeni katetee watu wako,katetee wasanii na kawatetee vijana wa Tanzania.Usiogope ungana na makamanda Zitto,Mbowe,Mnyika na wengineo mkalitetee taifa letu huko bungeni ili lipate maendeleo
 
View attachment 16098
Sugu ni mtu ambaye anakubarika saana na watu kwanza kwa sababu huyu bwana anaweza kusema bila kuogopa. Tunataka watu kama yeye, na sasa sugu usimwonee mtu huruma si uliona walichokufanyia? let them pay for this, fanya kazi baba. Kibonde hana reputations utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji. Sugu nilisahau msikilizishe Kibonde Anti virus latest volume.

Hawa ndo wezi wanaowaua wasanii. kibonde lenyewe afya mgogoro tu, anajiona wakati hata lolote. hawa ndo walio mchakachua sugu na NO MORE malaria Wakishirikiana na January Makamba
 
tabia yake yote na matendo ya kike, punga kweli, mara blackberry yangu iko hivi na vile, blackberry ni kitu cha kujisifia? idiot, ignoramus,stupid, low profile, anajisifu kama clouds kafika vile. Na dawa haijapatikana ya ngoma utashaaaa
 
Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
 
Kazi kwake sasa anafikiri mwenzake alikuwa anapiga porojo na soga kama yeye, sasa ni mwendo mdundo dua la kuku siku zote halimpati mwewe sijui ana nini cha kusema sasa hivi wamsubiri tu mr ii kumuona mjengoni
 
Kuna wadau wanadai Kibonde anakipaji cha uimbaji wa TAARABU ila hajakiweka hadharani,ndo maana anakuwa mmbeya,mwenye majungu na mpenda sifa.
 
Nyie na akili zenu mnajadili UWEHU wa kibonde?....ignore him, he is as crazy as he can be:A S-cry:
Sugu si mtu wa kufananisha na watoto kama wa CloudsFM na the like! Mara zote si mpiga kelele, move zake ni very strategic-hawezi kuongea bila kuwaza. Watu wa mbeya mjini wamempa kura 46,000 na kumzidi Mpesya kura 20,000 (elfu ishirini), kibonde sidhani kama alishawahi kugombea hata ubalozi wa nyumba kumi mtaani kwao, achiliambali udiwani!!!
 
Hehee wajameni mnamukandiaga hivo mabonde efulayimu! hako ka mujamaa huwaga ni ka kada ka sisiemu. Sugu agegombeaga CCM kangemusifiaga sana
 
Back
Top Bottom