Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
nilitaka kushangaa ishu ya kibonde NN usichangie yule jamaa ni kama mtu wa nyota usipozifuata hazikuongozi ila ukizifuata zinakuongoza kwa hiyo sasa na kibonde ndivyo hivyo..akili kumkichwa na hayo tu..
Kama Kibonde anawachefua hivyo je tungekuwa na sampuli za kina Sean Hannity ingekuwaje? Kibonde is nothing....
Uzuri ni kwamba havunji miiko yoyote ya fani yake. He is very much in line. It is just a matter of you people understanding that the news business is not only about reading the news off the teleprompter or paper script. You do have some opinion shows also.