Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,411
kule kwetu mikahawani tangu napata akili hadi nilipoenda mara ya mwisho sijaona mwembe!!
Kuna nini?
Sisi kwanzia maembe, machungwa, mapera, maparachichi, elimu, zambarau, malimao tunayo. Kazi kusubiria msimu tu.