Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,985
- 93,995
sie shule yetu ilikuwa na kengele ya umeme
..... hivi time keeper alikuwa anananuliwa saa na shule ?
wapi hiyo Ilboru au?
Tabora school tulikua tunatumia ya umeme
hahahahahahah lol umenikumbusha
mi nilikuwa "timekeeper" shule ya sekondari Gidas miaka hiyo lol
agh kumbe ndo wewe umebadilika sana sasa hivi..uzuri umeongezeka